GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Chambo katika uvuvi tunatumia ili kuhadaa samaki Chambo wala hakina kosa kwa hilo, huyu katumika ili kuhadaa watu kuwa Yesu afanana na hivyo, yemwenyewe wala hana time na hilo ila waliodhamiria na kupanga hilo, tena jamaa mtu wa tungi tu.Maana yake ni nini mkuu...?