Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
This level of analysis uliohangaika kumpa ni next level.Mkuu unabisha nini hapo?
Vanguard nimeipata hii beforward mfano ya 2011.
View attachment 2230656
Na ushuru wa TRA hapa:
View attachment 2230657
Kwahiyo Mil 35 hivi unapata.
Haya tuje kwa Harrier kumbuka hiyo kwenye pic ni 3rd generation sio tako la sokwe.
Beforward nimeipata ya bei ndogo kabisa hii hapa:
View attachment 2230658
Tuje ushuru wa TRA:
View attachment 2230659
Kwahiyo jumla kama Mil 70 hivi.
Njoo na wewe uni prove wrong.
Ingekuwa mimi ningejikausha tu.
Hiyo Harrier tena imeshuka bei, mwaka juzi na jana zilikuwa zinagonga mpaka 85M.
Wakati 40M unapata Vanguard.