busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,575
Makamanda wa Mwanza Nyamagana na walio nje ya Mwanza mapambano yanaanza sasa.
Wakazi wa Mwanza tunamkumbuka Wenje jinsi alivyoipambania wilaya ya Nyamagana ndani na nje ya bunge kwa watu wa kada zote mpaka kutishiwa.
alikadhalika pia kwa kijana shupavu na makini John Pambalu alionyesha weredi mkubwa wa kutumikia jamii kwenye kata yake ya Mkuyuni kiasi mpaka kupewa jukumu kubwa la kugombea ubunge wa wilaya ya Nyamagana.
Naomba kuwasilisha.
Wakazi wa Mwanza tunamkumbuka Wenje jinsi alivyoipambania wilaya ya Nyamagana ndani na nje ya bunge kwa watu wa kada zote mpaka kutishiwa.
alikadhalika pia kwa kijana shupavu na makini John Pambalu alionyesha weredi mkubwa wa kutumikia jamii kwenye kata yake ya Mkuyuni kiasi mpaka kupewa jukumu kubwa la kugombea ubunge wa wilaya ya Nyamagana.
Naomba kuwasilisha.