abdallahjumbe
Member
- Jul 1, 2016
- 48
- 46
Pongezi kwa mtukufu rais Magufuli kuja na hii kitu sijui tuseme ni sera ya chama ama ni matakwa yako juu ya elimu kua bure
Katika mwaka wa kwanza tu tumeshuhudia wimbi kubwa la uandikishwaji wanafunzi darasa la kwanza
Hii maana yake ni kua walala hoi wengi tulikua tukikosa elimu hata ya msingi tu
Lakini nyuma ya elimu kuna jambo muhimu la tiba
Mtukufu rais kama ungekusanya maoni kati ya elimu na tiba kipi kiwe bure walala hoi wote tungechagua tiba
Ila kwa kuwa wewe umetuchagulia elimu kwanza sio mbaya tumelipokea
Ila tunakuomba basi katika awamu yako ya pili na tiba iwe bure
Mwaweja baba
Katika mwaka wa kwanza tu tumeshuhudia wimbi kubwa la uandikishwaji wanafunzi darasa la kwanza
Hii maana yake ni kua walala hoi wengi tulikua tukikosa elimu hata ya msingi tu
Lakini nyuma ya elimu kuna jambo muhimu la tiba
Mtukufu rais kama ungekusanya maoni kati ya elimu na tiba kipi kiwe bure walala hoi wote tungechagua tiba
Ila kwa kuwa wewe umetuchagulia elimu kwanza sio mbaya tumelipokea
Ila tunakuomba basi katika awamu yako ya pili na tiba iwe bure
Mwaweja baba