ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,650
Kati ya hizi idhaa mbili za matangazo ipi unaikubali sana.mimi naona Hawa wagermany wa DW wako makini kuliko BBC
Halafu BBC kwa mfano asubuhi amka na BBC habari unakuta nne tu miyeyusho..me nimependa na TODAYTOMORROW documentary zao za science sio mchezoDW wako vizuri zaidi,BBC huwa wanapigwa biti na serekali ya Meko
Unanichekesha sana na hivyo vimsemo vyako!Zote ni za mabeberu.
Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuu?
Hahahah tunatoa stress mkuu.Unanichekesha sana na hivyo vimsemo vyako!