Raia mdogo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2018
- 1,344
- 1,435
Dr Tulia sio wa Lwangwa ni mtu wa Bulyaga(Tukuyu) Lwangwa alienda kuzindua ujenzi wa kituo kipya cha polisOk,ndo maana huyu Tulia anahangaika sana japo anatafuta jimbo,anatamani mbeya lakini sugu kakaza na kule kwao lwangwa ndo hawamtaki kabisaa