Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Kuna interview Chid kaongea point ya kufikirika kujitetea kuwa yeye ni mzuri kwenye freestyle kuliko Ngwea.
Vigezo alivyotumia ni kwamba Ngwea anachana polepole kitu kinachompa mda wa kufikiria mistari au vina,ila yeye atakachosema tena kwa haraka ni vina,Alieleza kwamba walishindanishwa kwenye club moja ila mashabiki waliamua awe mshindi kwa sababu Ngwea alikuwa anapochana anavuta sana mda wa kufikiria,...Pia kuhusu Godzilla alisema siyo watu wa kutunga papo kwa papo,wanachana polepole ili kupata mda wa kufikiria tofauti na yeye.
Wakuu na wadau wa freestyle mnasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vigezo alivyotumia ni kwamba Ngwea anachana polepole kitu kinachompa mda wa kufikiria mistari au vina,ila yeye atakachosema tena kwa haraka ni vina,Alieleza kwamba walishindanishwa kwenye club moja ila mashabiki waliamua awe mshindi kwa sababu Ngwea alikuwa anapochana anavuta sana mda wa kufikiria,...Pia kuhusu Godzilla alisema siyo watu wa kutunga papo kwa papo,wanachana polepole ili kupata mda wa kufikiria tofauti na yeye.
Wakuu na wadau wa freestyle mnasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app