Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
wana JF,
hebu tujiulize haya masuala yaliyotikisa nchi.nani hasa aliyaanzisha kati ya cuf na chadema na ni nani alidandia na kuteka hoja.
1..suala la katiba mpya
2.muundo wa serikali tatu ndani ya muungano.
3.kwenda ikulu kuongea na rais
4.maandamano
5.kutomtambua rais aliyeko madarakani.
my take...maendeleo yanapatikana kwa kuiga lakini si kila kitu cha kuiga kinaleta maendeleo.
hebu tujiulize haya masuala yaliyotikisa nchi.nani hasa aliyaanzisha kati ya cuf na chadema na ni nani alidandia na kuteka hoja.
1..suala la katiba mpya
2.muundo wa serikali tatu ndani ya muungano.
3.kwenda ikulu kuongea na rais
4.maandamano
5.kutomtambua rais aliyeko madarakani.
my take...maendeleo yanapatikana kwa kuiga lakini si kila kitu cha kuiga kinaleta maendeleo.