ha ha ha... umeona eehNi sawa na kusema tofauti kati ya Barrick na Acacia. Ni kampuni mbili tofauti kwa sheria za uanzishwaji wa makampuni TZ. Sasa Bibi-lia na Biblia wapi na wapi?!. Dogo yupo sahihi. Bibi-lia=Grandmother-Cry. Dingi hapo ni kama Bunge la TZ. Ni mapoyoyo na kudunda meza kwa ndiooooo Barick=Acacia. Tumeibiwa bila Acacia kuwa na leseni mpaka leo! Mfyuuuuu.