Gentle001
Member
- Sep 14, 2020
- 17
- 15
Sehemu Ya Kwanza
Kwa Majina naitwa Kelvin pia James, Haya ni majina ambayo sikupewa na wazazi wangu Bali nilijibatiza mwenyewe lengo hasa likiwa Ni kujibland wakati najitambulisha mbele za watu hasa watoto wa kike japo hata mbele za vidume wenzangu huwa najitambulisha kwa majina hayohayo pia. Ukweli Ni kwamba nimeyazoea sana majina haya KIASI kwamba wakati mwingine mtu akiniita kwa majina yangu halisi naweza nisiitikie kwa kuhisi labda anayeitwa Ni mtu mwingine na sio mimi hivyo naombeni hata nyie mnitambue kwa majina hayo tu inatosha sn kwangu maana hata mm mwenyewe siyapendi kiivyo sana majina yangu niliyopewa na wazazi wangu.
Nadhani nisiwachoshe sana kwa stori yangu ya majina yangu hivyo naomba niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nitake kuwaandikia kijistori changu hiki Cha kizushi bali chenye maana sana, Labda nianze kwa kusema Jambo moja la msingi sana kwangu mm Kelvin James NAPENDA SANA WANAWAKE, ndio mm Kelvin James napenda sana wanawake kwa lugha nyepesi napenda sana totoz na hadithi yangu inaanzia mwaka 2014 novemba mwezi ambao nilimaliza kidato Cha nne na kurudi zangu nyumbani moyoni nikiwa najua kabsa tayari mpenzi wangu wa shule tumeshaachana hata Kama sio kwa kutamkiana maneno bali matendo yatakuja kuanza kuzungumza baada ya muda si mrefu maana haiwezekani mtoto wa watu anaishi zake Bukoba na mm narudi zangu Dar alafu unambie bado tutaendelea kupendana kama si kudanganyana tu hapo.
Basi ndio hivyo nilivyorudi zangu nyumbani na kwa kuwa sikuwa na inshu ya kufanya Mzee wangu akaamua kunipa dili ya kufanya na dili yenyewe ulikuwa Ni kwenda kusimamia Lodge yake moja iliyopo maeneo ya Gongo La Mboto sehemu moja inaitwa Banana kwani mzee alidai mfanyakazi wake alikua anamsumbua sana kuwasilisha hesabu za siku (Nahsi alimtimua tu ili aniweke jembe lake maana navyomjua mzee wangu hawezi kukubali uzembe wa kutokuletewa hesabu zake zilizokamilika).
Kwa kuwa sikuwa na inshu kweli ya kufanya Mzee hakutumia nguvu kunitaka niende kuisimamia hiyo Lodge hivyo mjuba nikajipanga fasta huyo nikaenda zangu Banana kupiga pesa maana nilikua kabsa siwezi kukaa kwenye Lodge ya mzee nikakosa vimia Mia mbili vya kuhonga mie.
Safari haikuwa ndefu sana kufika Banana kutoka kwetu Tabata Segerea ambako ndiko nilikua naishi kwa muda huo na mama yangu pamoja na wadogo zangu kadhaa.
Mzee alikua ameshanipatia maelekezo yote ya nini natakiwa kufanya nitakapokuwa hapo Lodge na alikua ameshaongea na Binti mmoja kwa jina anaitwa Scolastica Ila mm napenda kumwita Sico kuwa atakuwa ananisaidia baadhi ya majukumu ya pale Lodge Kama kufua nashuka na kusafisha vyumba vya kulala wageni kwani kazi yangu kubwa mm ilikua Ni kupokea wageni na kufanya hesabu Kisha nakabidhi hesabu kwa mzee Basi hakuna kingine (Simple sn au mnasemaje waungwana).
Nilifika Banana mida ya jioni nikiwa naendesha pikipiki yangu niliyopatiwa na mama km zawadi siku ya graduation yangu ya kumaliza form 4 ambapo nilimkita Sico akiwa ananisubiria. Nilimpakiza kwenye boda yangu ili anipeleke kazini kwangu na kwa kuwa hatukuwa tunafahamiana kivile Mimi na Sico safari yetu haikuwa na mbwembwe nyingi kwani Sico alikua kimya Kama mm na kila alipokuwa anafungua mdomo wake kuzungumza ulikuwa ni kunielekeza sehemu ambayo natakiwa kuelekea. Hadi kufika kwenye Lodge ya mzee kutoka kituoni nilipomchukua Sico kwa boda tulitumia dakka Kama nne tu hvyo nilijua fika pale biashara ipo (Kwa mnaojiuliza km nilikua sipafahamu kwenye Lodge yetu ndio nilikua sipafahamu maana mzee aliinunua hiyo Lodge wakati mm nikiwa nipo shule namalizoa zangu masomo yangu ya o level). Kiukweli niliipenda sn Lodge ya mzee kwa mwonekano wake ulivyokuwa inasomeka jina kubwa SIKUDHANI (Sijui hata aliwaza nn kuiita jna Al ajabu hvi Lodge Kali Kama Ile).
Kwa kuwa mgeni ndio nilikuwa nafika kwa Mara ya kwanza Sico ilimbidi aanze kunielekeza maeneo yote muhimu Kama vile chooni hata na Bei ya vyumba vyote. Moja ya kitu ambacho nilikipenda kutoka kwa Sico ni uchangamfu wake ambao sikuugundua mwanzoni kule alivyokuja kunipokea Jambo lililonitia moyo kuwa ntawahi kuzoeana nae tofauti na nilivyokuwa nawaza mwanzoni. " Samahani unaitwa Nani vile" Ilinibidi nimuulize jina lake japo nilikuwa nalifahamu Mzee alinambia, Sico hakunijibu Bali alibaki ananitazama tu hvyo ikabidi nijitetee Tena "Nimeona tumezungumza mengi sana bila hata kutambulishana majina yetu" "Naitwa Sico, Mwenzangu si Ni...". "Ntafurahi km utanikuta Kelvin ama Kevoo" Sikutaka anizoee kwa jina aliloambiwa na mzee wangu ndio maana nilimkatisha kabla hata ajalitaja. "Okay sawa nashukuru kukufahamu" "Hata mm pia Sico nimependa sn jna lako" ........
Wakati tunaendelea kuzungumza jamaa mmoja alifika na kutuulizia km amemkuta mhudumu nikamwambia ndio mm. Mshkaji nilimwina km alikuwa na wasiwasi hvi kwenye uso wake hvyo ilibidi nimchamgamkie zaidi ili nisije kosa mteja kizembe " Nambie ndilugu yangu sijui nikusaidie nn?" Jamaa alimtazama kwa muda kidogo Sico Kisha akanambia anataka tukazungumze pembeni. Sikutaka kubisha hivyo tulikwenda pembeni ili nikamsikilize jamaa anachotaka kujieleza, Jamaa akianza kwa kujitambulisha jina lake Kisha akanambia amesikia kuwa hapo Lodge kwetu huwa Kuna huduma pia ya madada poa (Wadada wanaojiuza miili yao ili kupata pesa) hivyo anaomba nimsaidie kumletea mdada mmoja na atanipatia pesa Mara mbili ya chumba kwa malipo ya fasta (Malipo ya muda mfupi pale watu wanapokodi chumba kwa lengo la kujamiiana).
Kiukweli sikuwa nafahamu kuhusu Hilo lkn Sikutaka kumweleza Jamaa huyo kuwa nilikuwa sifahamu Jambo Hilo kwani nilikua naihitaji Sana pesa hiyo hvyo nilimwambia jamaa anisubiri km dakka kumi pale pale narudi akilini mwangu nikiwa nakuwaza Sico tu kuwa ndiye mtu atakayenielekeza kuhusu Jambo Hilo Kama Ni kweli lipo ama la lkn nilikuwa najiuliza akilini ntamwingia vipi ili anielezee ntakakowapata hao madada poa.
Nilijipa moyo kwa kujiaminisha kuwa Sico hatonishangaa kwani hata yy Ni mtu mzma hvyo hakuna asichokifahamu kuhusu wanaume. Sikutaka kizunguka sn nilivyomfikia Sico nikamweleza kuwa Yule jamaa niliyetoka nae anatafuta mdada wa kulala nae kwa muda hvyo ameniomba nimuunganishe na Wadada wanaopatikana pale Lodge. Sico kusikia vile akaniuliza jamaa anashingapi kwani, Nikamweleza Sico kuwa Sina uhakika Bali navyoona Ni Kama jamaa anapesa maana ameahidi kunilipa Mara mbili pesa ya chumba. Sico kusikia hvyo akanambia nimwache aende kuzungumza nae,kusikia vile nikashangaa kidogo hvyo nikamzuia kwa kumuuliza anakwenda kuzungumza nae nini, Sico akanieleza anakwenda kuzungumza nae biashara maana tayari nimeshatoka kwa muhusika. Kusikia vile nilipata mshtuko kidogo moyoni maana sikuamini km Sico nae alikua anafanya biashara hyo na ukweli Ni kwamba Kuna maswali mengi yalinipitia kichwani mwangu ambayo nilitaka kumuuliza pale lkn nilijikuta nakosa kauli ya kumweleza zaidi ya kumwacha aende kuzungumza na Yule jamaa.
Baada ya kama dakka tano toka Sico alivyoondoka kwenda kuzungumza na Yule jamaa nilimwona anarudi nae. Jamaa alinivuta pembeni na kumwacha Sico akitangulia kwenye chumba kimoja ambacho mwanzoni wakati ananielekeza vyumba alinambia hicho chumba huwa kinatumika kwa shughuri za muda mfupi. Jamaa alinipatia elfu ishirini huku akinishukuru sn kwa kunambia haamini km nimemchagulia pisi Kali km Ile.Niliipokea Ile pesa huku moyo ukiwa unaniuma na sikuielewa bila kuelewa Ni kwa nn naumia kuona mchzi anakwenda kujimegea tunda la mtoto ambae mm niliwaza kumpata kwake labda ingenichukua hata miezi mitatu na kumbe ilikua nikitendo Cha kuzama mfukoni Kisha mnafanya biashara. Sico aliingia ndani ya chuma huku akifuatiwa na jamaa ambae alikifunga chumba baada ya kuingia tu. Nilijikuta nimesimama pale pale kwa muda wa km nusu saa hv bila kuhama Wala kubadili pozi Hadi pale nilipoona mlango wa chumba alichokuwa ameingia Sico na jamaa yake ukifunguliwa Tena. Jamaa alitoka Kisha akaniaga na kuondoka zake huku akiwa anajichekesha chekesha. Mm sikuwa na mood ya kumchekea chekea km alivyokuwa ananifanyia Bali akili yangu ulikuwa inawaza Sico atafanya nn au atanambia nn atakapotoka ndani ya like chumba.
Baada ya muda si mrefu Sico alitoka huku akiwa ameshikilia shuka mkononi huku akijiongelesha mwenyewe, Aliacha kuongea mwenyewe alivyoniona Kisha akanambia anaomba sn msamaha maana alijisahau kuitoa shuka wakati wanafanya yao hivyo ameichafua shuka. Sikuwa na la kuongea zaidi ya kumkubalia huku nikijichekesha kwa kujiona mjinga kweli maana hata sijui Ni nini nilikua nawaza kusubiria maelezo kutoka kwa Sico ya kwann amelala na mwanaume Yule wakati mm nipo kijana wa watu nayejiheshimu na muda si mrefu ntakuwa na vijipesa vya kuhonga.....
ITAENDELEA...
Imeandikwa nami Gentle
Kwa Majina naitwa Kelvin pia James, Haya ni majina ambayo sikupewa na wazazi wangu Bali nilijibatiza mwenyewe lengo hasa likiwa Ni kujibland wakati najitambulisha mbele za watu hasa watoto wa kike japo hata mbele za vidume wenzangu huwa najitambulisha kwa majina hayohayo pia. Ukweli Ni kwamba nimeyazoea sana majina haya KIASI kwamba wakati mwingine mtu akiniita kwa majina yangu halisi naweza nisiitikie kwa kuhisi labda anayeitwa Ni mtu mwingine na sio mimi hivyo naombeni hata nyie mnitambue kwa majina hayo tu inatosha sn kwangu maana hata mm mwenyewe siyapendi kiivyo sana majina yangu niliyopewa na wazazi wangu.
Nadhani nisiwachoshe sana kwa stori yangu ya majina yangu hivyo naomba niende moja kwa moja kwenye jambo lililonifanya nitake kuwaandikia kijistori changu hiki Cha kizushi bali chenye maana sana, Labda nianze kwa kusema Jambo moja la msingi sana kwangu mm Kelvin James NAPENDA SANA WANAWAKE, ndio mm Kelvin James napenda sana wanawake kwa lugha nyepesi napenda sana totoz na hadithi yangu inaanzia mwaka 2014 novemba mwezi ambao nilimaliza kidato Cha nne na kurudi zangu nyumbani moyoni nikiwa najua kabsa tayari mpenzi wangu wa shule tumeshaachana hata Kama sio kwa kutamkiana maneno bali matendo yatakuja kuanza kuzungumza baada ya muda si mrefu maana haiwezekani mtoto wa watu anaishi zake Bukoba na mm narudi zangu Dar alafu unambie bado tutaendelea kupendana kama si kudanganyana tu hapo.
Basi ndio hivyo nilivyorudi zangu nyumbani na kwa kuwa sikuwa na inshu ya kufanya Mzee wangu akaamua kunipa dili ya kufanya na dili yenyewe ulikuwa Ni kwenda kusimamia Lodge yake moja iliyopo maeneo ya Gongo La Mboto sehemu moja inaitwa Banana kwani mzee alidai mfanyakazi wake alikua anamsumbua sana kuwasilisha hesabu za siku (Nahsi alimtimua tu ili aniweke jembe lake maana navyomjua mzee wangu hawezi kukubali uzembe wa kutokuletewa hesabu zake zilizokamilika).
Kwa kuwa sikuwa na inshu kweli ya kufanya Mzee hakutumia nguvu kunitaka niende kuisimamia hiyo Lodge hivyo mjuba nikajipanga fasta huyo nikaenda zangu Banana kupiga pesa maana nilikua kabsa siwezi kukaa kwenye Lodge ya mzee nikakosa vimia Mia mbili vya kuhonga mie.
Safari haikuwa ndefu sana kufika Banana kutoka kwetu Tabata Segerea ambako ndiko nilikua naishi kwa muda huo na mama yangu pamoja na wadogo zangu kadhaa.
Mzee alikua ameshanipatia maelekezo yote ya nini natakiwa kufanya nitakapokuwa hapo Lodge na alikua ameshaongea na Binti mmoja kwa jina anaitwa Scolastica Ila mm napenda kumwita Sico kuwa atakuwa ananisaidia baadhi ya majukumu ya pale Lodge Kama kufua nashuka na kusafisha vyumba vya kulala wageni kwani kazi yangu kubwa mm ilikua Ni kupokea wageni na kufanya hesabu Kisha nakabidhi hesabu kwa mzee Basi hakuna kingine (Simple sn au mnasemaje waungwana).
Nilifika Banana mida ya jioni nikiwa naendesha pikipiki yangu niliyopatiwa na mama km zawadi siku ya graduation yangu ya kumaliza form 4 ambapo nilimkita Sico akiwa ananisubiria. Nilimpakiza kwenye boda yangu ili anipeleke kazini kwangu na kwa kuwa hatukuwa tunafahamiana kivile Mimi na Sico safari yetu haikuwa na mbwembwe nyingi kwani Sico alikua kimya Kama mm na kila alipokuwa anafungua mdomo wake kuzungumza ulikuwa ni kunielekeza sehemu ambayo natakiwa kuelekea. Hadi kufika kwenye Lodge ya mzee kutoka kituoni nilipomchukua Sico kwa boda tulitumia dakka Kama nne tu hvyo nilijua fika pale biashara ipo (Kwa mnaojiuliza km nilikua sipafahamu kwenye Lodge yetu ndio nilikua sipafahamu maana mzee aliinunua hiyo Lodge wakati mm nikiwa nipo shule namalizoa zangu masomo yangu ya o level). Kiukweli niliipenda sn Lodge ya mzee kwa mwonekano wake ulivyokuwa inasomeka jina kubwa SIKUDHANI (Sijui hata aliwaza nn kuiita jna Al ajabu hvi Lodge Kali Kama Ile).
Kwa kuwa mgeni ndio nilikuwa nafika kwa Mara ya kwanza Sico ilimbidi aanze kunielekeza maeneo yote muhimu Kama vile chooni hata na Bei ya vyumba vyote. Moja ya kitu ambacho nilikipenda kutoka kwa Sico ni uchangamfu wake ambao sikuugundua mwanzoni kule alivyokuja kunipokea Jambo lililonitia moyo kuwa ntawahi kuzoeana nae tofauti na nilivyokuwa nawaza mwanzoni. " Samahani unaitwa Nani vile" Ilinibidi nimuulize jina lake japo nilikuwa nalifahamu Mzee alinambia, Sico hakunijibu Bali alibaki ananitazama tu hvyo ikabidi nijitetee Tena "Nimeona tumezungumza mengi sana bila hata kutambulishana majina yetu" "Naitwa Sico, Mwenzangu si Ni...". "Ntafurahi km utanikuta Kelvin ama Kevoo" Sikutaka anizoee kwa jina aliloambiwa na mzee wangu ndio maana nilimkatisha kabla hata ajalitaja. "Okay sawa nashukuru kukufahamu" "Hata mm pia Sico nimependa sn jna lako" ........
Wakati tunaendelea kuzungumza jamaa mmoja alifika na kutuulizia km amemkuta mhudumu nikamwambia ndio mm. Mshkaji nilimwina km alikuwa na wasiwasi hvi kwenye uso wake hvyo ilibidi nimchamgamkie zaidi ili nisije kosa mteja kizembe " Nambie ndilugu yangu sijui nikusaidie nn?" Jamaa alimtazama kwa muda kidogo Sico Kisha akanambia anataka tukazungumze pembeni. Sikutaka kubisha hivyo tulikwenda pembeni ili nikamsikilize jamaa anachotaka kujieleza, Jamaa akianza kwa kujitambulisha jina lake Kisha akanambia amesikia kuwa hapo Lodge kwetu huwa Kuna huduma pia ya madada poa (Wadada wanaojiuza miili yao ili kupata pesa) hivyo anaomba nimsaidie kumletea mdada mmoja na atanipatia pesa Mara mbili ya chumba kwa malipo ya fasta (Malipo ya muda mfupi pale watu wanapokodi chumba kwa lengo la kujamiiana).
Kiukweli sikuwa nafahamu kuhusu Hilo lkn Sikutaka kumweleza Jamaa huyo kuwa nilikuwa sifahamu Jambo Hilo kwani nilikua naihitaji Sana pesa hiyo hvyo nilimwambia jamaa anisubiri km dakka kumi pale pale narudi akilini mwangu nikiwa nakuwaza Sico tu kuwa ndiye mtu atakayenielekeza kuhusu Jambo Hilo Kama Ni kweli lipo ama la lkn nilikuwa najiuliza akilini ntamwingia vipi ili anielezee ntakakowapata hao madada poa.
Nilijipa moyo kwa kujiaminisha kuwa Sico hatonishangaa kwani hata yy Ni mtu mzma hvyo hakuna asichokifahamu kuhusu wanaume. Sikutaka kizunguka sn nilivyomfikia Sico nikamweleza kuwa Yule jamaa niliyetoka nae anatafuta mdada wa kulala nae kwa muda hvyo ameniomba nimuunganishe na Wadada wanaopatikana pale Lodge. Sico kusikia vile akaniuliza jamaa anashingapi kwani, Nikamweleza Sico kuwa Sina uhakika Bali navyoona Ni Kama jamaa anapesa maana ameahidi kunilipa Mara mbili pesa ya chumba. Sico kusikia hvyo akanambia nimwache aende kuzungumza nae,kusikia vile nikashangaa kidogo hvyo nikamzuia kwa kumuuliza anakwenda kuzungumza nae nini, Sico akanieleza anakwenda kuzungumza nae biashara maana tayari nimeshatoka kwa muhusika. Kusikia vile nilipata mshtuko kidogo moyoni maana sikuamini km Sico nae alikua anafanya biashara hyo na ukweli Ni kwamba Kuna maswali mengi yalinipitia kichwani mwangu ambayo nilitaka kumuuliza pale lkn nilijikuta nakosa kauli ya kumweleza zaidi ya kumwacha aende kuzungumza na Yule jamaa.
Baada ya kama dakka tano toka Sico alivyoondoka kwenda kuzungumza na Yule jamaa nilimwona anarudi nae. Jamaa alinivuta pembeni na kumwacha Sico akitangulia kwenye chumba kimoja ambacho mwanzoni wakati ananielekeza vyumba alinambia hicho chumba huwa kinatumika kwa shughuri za muda mfupi. Jamaa alinipatia elfu ishirini huku akinishukuru sn kwa kunambia haamini km nimemchagulia pisi Kali km Ile.Niliipokea Ile pesa huku moyo ukiwa unaniuma na sikuielewa bila kuelewa Ni kwa nn naumia kuona mchzi anakwenda kujimegea tunda la mtoto ambae mm niliwaza kumpata kwake labda ingenichukua hata miezi mitatu na kumbe ilikua nikitendo Cha kuzama mfukoni Kisha mnafanya biashara. Sico aliingia ndani ya chuma huku akifuatiwa na jamaa ambae alikifunga chumba baada ya kuingia tu. Nilijikuta nimesimama pale pale kwa muda wa km nusu saa hv bila kuhama Wala kubadili pozi Hadi pale nilipoona mlango wa chumba alichokuwa ameingia Sico na jamaa yake ukifunguliwa Tena. Jamaa alitoka Kisha akaniaga na kuondoka zake huku akiwa anajichekesha chekesha. Mm sikuwa na mood ya kumchekea chekea km alivyokuwa ananifanyia Bali akili yangu ulikuwa inawaza Sico atafanya nn au atanambia nn atakapotoka ndani ya like chumba.
Baada ya muda si mrefu Sico alitoka huku akiwa ameshikilia shuka mkononi huku akijiongelesha mwenyewe, Aliacha kuongea mwenyewe alivyoniona Kisha akanambia anaomba sn msamaha maana alijisahau kuitoa shuka wakati wanafanya yao hivyo ameichafua shuka. Sikuwa na la kuongea zaidi ya kumkubalia huku nikijichekesha kwa kujiona mjinga kweli maana hata sijui Ni nini nilikua nawaza kusubiria maelezo kutoka kwa Sico ya kwann amelala na mwanaume Yule wakati mm nipo kijana wa watu nayejiheshimu na muda si mrefu ntakuwa na vijipesa vya kuhonga.....
ITAENDELEA...
Imeandikwa nami Gentle