wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,684 26,779 Jan 9, 2022 Thread starter #41 marinji said: Duuu wazee wa code nimewasoma Click to expand...
moyafricatz JF-Expert Member Nov 27, 2015 2,900 4,864 Jan 9, 2022 #43 Watanzania wengi wanataka katiba mpya lakini cha ajabu hata hii waliyo nayo hawajawahi kuisoma na kama wamesoma hawahawahi kuielewa. Huyu anaongea upupu mtupu... Hana anachojua.
Watanzania wengi wanataka katiba mpya lakini cha ajabu hata hii waliyo nayo hawajawahi kuisoma na kama wamesoma hawahawahi kuielewa. Huyu anaongea upupu mtupu... Hana anachojua.