Katelefoni nae asifurahie kaachwa hapana tunasubiri spika wa bunge apatikane.

Kama mnavyojua Raisi alieko madarakani akishampendekeza waziri mkuu jina linapelekwa bungeni na spika wa bunge ndio anangaza.

Kutokana na hali iliojitokeza ya spika kujiuzulu nafasi endapo waziri mkuu angeteuliwa kulikuwa hamna wa kutangaza hivyo naomba nimwambie kuwa kaachwa kiporo spika akishapatikana nae shughuli inaendelea.

Huu ni utabiri wangu naomba msinipige mawe. Usiku mwemeni.
hv nani alikunong'oneza ? maana kama aliyekwambia ww kanambia na mimi vile
 
hv nani alikunong'oneza ? maana kama aliyekwambia ww kanambia na mimi vile
Akipatikana spika waziri atalazimishwa kujiuzulu atapendekezwa mwingine ndio jina lipelekwe bungeni ili spika alitangaze .
 
Kama mnavyojua Raisi alieko madarakani akishampendekeza waziri mkuu jina linapelekwa bungeni na spika wa bunge ndio anangaza.

Kutokana na hali iliojitokeza ya spika kujiuzulu nafasi endapo waziri mkuu angeteuliwa kulikuwa hamna wa kutangaza hivyo naomba nimwambie kuwa kaachwa kiporo spika akishapatikana nae shughuli inaendelea.

Huu ni utabiri wangu naomba msinipige mawe. Usiku mwemeni.
Mkuu upigwe mawe na nani na kwa kosa gani?

Hapo wewe umeongelea takwa la katiba.

Rais mteule anapoapishwa, cheo cha waziri mkuu hu cease automatic.

Baada ya kuapishwa rais mteule na kuwa Rais, basi Rais huyo hupendekeza jina la mbunge yeyote wa kuchaguliwa na kulipeleka Bungeni kupigiwa kura kumpata waziri mkuu.

Baada ya kupatikana Waziri mkuu, Rais husaidiana na Waziri mkuu wake kuunda baraza la mawaziri.

Mchakato huo Rais wa awamu ya6 hajawahi kufanya tangu aapishwe kuwa rais, alibariki tu kumuendeleza Waziri mkuu wa awamu ya 5 kuendelea kuwa Waziri bila process zozote za kikatiba .

Hata kama anampenda Waziri mkuu wa awamu ya5 aendelee, basi angelifuata utaratibu wa matakwa ya kisheria.

Hivyo kuteua mawaziri bila kutangazwa kwanza kwa Waziri mkuu kunafanya uteuzi huo na baraza zima la mawaziri kuwa ni batili.
 
Mkuu upigwe mawe na nani na kwa kosa gani?

Hapo wewe umeongelea takwa la katiba.

Rais mteule anapoapishwa, cheo cha waziri mkuu hu cease automatic.

Baada ya kuapishwa rais mteule na kuwa Rais, basi Rais huyo hupendekeza jina la mbunge yeyote wa kuchaguliwa na kulipeleka Bungeni kupigiwa kura kumpata waziri mkuu.

Baada ya kupatikana Waziri mkuu, Rais husaidiana na Waziri mkuu wake kuunda baraza la mawaziri.

Mchakato huo Rais wa awamu ya6 hajawahi kufanya tangu aapishwe kuwa rais, alibariki tu kumuendeleza Waziri mkuu wa awamu ya 5 kuendelea kuwa Waziri bila process zozote za kikatiba .

Hata kama anampenda Waziri mkuu wa awamu ya5 aendelee, basi angelifuata utaratibu wa matakwa ya kisheria.

Hivyo kuteua mawaziri bila kutangazwa kwanza kwa Waziri mkuu kunafanya uteuzi huo na baraza zima la mawaziri kuwa ni batili.
Sawa kumbe umeliona hilo
 
Mkuu upigwe mawe na nani na kwa kosa gani?

Hapo wewe umeongelea takwa la katiba.

Rais mteule anapoapishwa, cheo cha waziri mkuu hu cease automatic.

Baada ya kuapishwa rais mteule na kuwa Rais, basi Rais huyo hupendekeza jina la mbunge yeyote wa kuchaguliwa na kulipeleka Bungeni kupigiwa kura kumpata waziri mkuu.

Baada ya kupatikana Waziri mkuu, Rais husaidiana na Waziri mkuu wake kuunda baraza la mawaziri.

Mchakato huo Rais wa awamu ya6 hajawahi kufanya tangu aapishwe kuwa rais, alibariki tu kumuendeleza Waziri mkuu wa awamu ya 5 kuendelea kuwa Waziri bila process zozote za kikatiba .

Hata kama anampenda Waziri mkuu wa awamu ya5 aendelee, basi angelifuata utaratibu wa matakwa ya kisheria.

Hivyo kuteua mawaziri bila kutangazwa kwanza kwa Waziri mkuu kunafanya uteuzi huo na baraza zima la mawaziri kuwa ni batili.
Sawa kumbe umeliona hilo.
Kwa hiyo kwa kuvunja vunja katiba ina maana anaweza chagua waziri mkuu mwingine huyu alieko akamtumbua bila ya kujiuzulu kama katiba inavyosema au?
 
Kama mnavyojua Raisi alieko madarakani akishampendekeza waziri mkuu jina linapelekwa bungeni na spika wa bunge ndio anangaza.

Kutokana na hali iliojitokeza ya spika kujiuzulu nafasi endapo waziri mkuu angeteuliwa kulikuwa hamna wa kutangaza hivyo naomba nimwambie kuwa kaachwa kiporo spika akishapatikana nae shughuli inaendelea.

Huu ni utabiri wangu naomba msinipige mawe. Usiku mwemeni.
Wa stendi nawe umetabiri hahaha. Let's hope it's gon' work as you predicted.
 
Hapana katelefone ana sifaa moja kuu, ni wa dini yetu, tunaweza kumbadilisha akarudi kundini tukawa nae pamoja.
 
Mkuu upigwe mawe na nani na kwa kosa gani?

Hapo wewe umeongelea takwa la katiba.

Rais mteule anapoapishwa, cheo cha waziri mkuu hu cease automatic.

Baada ya kuapishwa rais mteule na kuwa Rais, basi Rais huyo hupendekeza jina la mbunge yeyote wa kuchaguliwa na kulipeleka Bungeni kupigiwa kura kumpata waziri mkuu.

Baada ya kupatikana Waziri mkuu, Rais husaidiana na Waziri mkuu wake kuunda baraza la mawaziri.

Mchakato huo Rais wa awamu ya6 hajawahi kufanya tangu aapishwe kuwa rais, alibariki tu kumuendeleza Waziri mkuu wa awamu ya 5 kuendelea kuwa Waziri bila process zozote za kikatiba .

Hata kama anampenda Waziri mkuu wa awamu ya5 aendelee, basi angelifuata utaratibu wa matakwa ya kisheria.

Hivyo kuteua mawaziri bila kutangazwa kwanza kwa Waziri mkuu kunafanya uteuzi huo na baraza zima la mawaziri kuwa ni batili.
Nilijua hili nimeliona mimi kumbe tuko wengi. What our president does is null and void kikatiba.
 
Kama mnavyojua Raisi alieko madarakani akishampendekeza waziri mkuu jina linapelekwa bungeni na spika wa bunge ndio anangaza.

Kutokana na hali iliojitokeza ya spika kujiuzulu nafasi endapo waziri mkuu angeteuliwa kulikuwa hamna wa kutangaza hivyo naomba nimwambie kuwa kaachwa kiporo spika akishapatikana nae shughuli inaendelea.

Huu ni utabiri wangu naomba msinipige mawe. Usiku mwemeni.
Vyeo vyatoka kwa Mungu, acha upumbavu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom