Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wadau nimejaribu kutafuta CV ya huyu mama bila mafanikio, nikaona ni vema na haki niyalete maombi yangu kwa yeyote anayemfahamu huyu mama ambaye ni miongoni mwa wanachama wa CCM walipitishwa kuwania nafasi ya Usipika wa bunge la 10.
Itafaa pia kama tukikumbushana kwa ufupi CV za wagombea wengine pia na nafasi zao za kuendeleza au kuitokomeza kazi nzuri ya Sam Sita
Itafaa pia kama tukikumbushana kwa ufupi CV za wagombea wengine pia na nafasi zao za kuendeleza au kuitokomeza kazi nzuri ya Sam Sita