Katazo la kutokula nyama ya Nguruwe linaathiri Wafugaji Wilayani Kilolo! Kwanini kuna katazo hili?

Sitaki kuamini

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
343
1,006
Wakuu habari.

Katika wilaya ya Kilolo kuna habari zimetolewa kwamba ni marufuku kula kitimoto.

Mimi kama mfugaji mdogo wa Nguruwe hili katazo limeniathiri sana(wakuu sanaa). Naomba kujua kama kuna maeneo mengine kuna katazo kama hili na ni kwanini?

Karibuni.

Serious case.
===

Wakuu nini hakijaeleweka hapa?
Mbona mnaleta stori zisizohusiana na maada?
 
SUBIRI JEHANUM MAANA SISI BINADAMU NI WABISHI SANA ,SUBIRI MUNGU ATAKAVYOKUSANYA MATAIFA YOTE ATAKAPOTOA KICHAPO KWA WALA NGURUWE,PANYA ,KENGE NA MACHUKIZO MENGINE

ISAYA 66

15 Maana Bwana atakuja na moto, na magari yake ya vita kama upepo wa kisulisuli; ili atoe malipo ya ghadhabu yake kwa moto uwakao, na maonyo yake kwa miali ya moto.

16 Kwa maana Bwana atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na Bwana watakuwa wengi.

17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana.

18 Nami nayajua matendo yao na mawazo yao; wakati unakuja nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote; nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.

SIO MIMI NI BWANA KASEMA HIVO, SITAKI POVU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu, tuwe tunaangalia kwa namna nyingine namna ya kuzipa title thread zetu.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
SUBIRI JEHANUM MAANA SISI BINADAMU NI WABISHI SANA ,SUBIRI MUNGU ATAKAVYOKUSANYA MATAIFA YOTE ATAKAPOTOA KICHAPO KWA WALA NGURUWE,PANYA ,KENGE NA MACHUKIZO MENGINE

ISAYA 66

15 Maana Bwana atakuja na moto, na magari yake ya vita kama upepo wa kisulisuli; ili atoe malipo ya ghadhabu yake kwa moto uwakao, na maonyo yake kwa miali ya moto.

16 Kwa maana Bwana atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na Bwana watakuwa wengi.

17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana.

18 Nami nayajua matendo yao na mawazo yao; wakati unakuja nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote; nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.

SIO MIMI NI BWANA KASEMA HIVO, SITAKI POVU

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi Bible/Qur'an imekutaka uwe shabiki wa arsenal?

Subiri jehanamu .staki povu.
 
Back
Top Bottom