Katazo la kutokula nyama ya Nguruwe linaathiri Wafugaji Wilayani Kilolo! Kwanini kuna katazo hili?

Samahani sana mkuu, mimi sikukatazi kula kitimoto lakini huenda hichi nitakacho kueleza kikakushangaza lakini ndiyo ukweli.

Katika Wanyama "wanaoliwa" na binadamu ni Nguruwe pekee anayefanya Ushoga (sodomy), ukiweka madume ya nguruwe pamoja hata kama majike wapo aghlabu kuyaona yakifanyana wao kwa wao, wataalamu wa lishe na chakula wanasema "you are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na chakula alacho, sasa kwa watu wanaokula sana kitimoto kuna uwezekano mkubwa wao kuwa mashoga sababu ya kula hiyo nyama.

Nguruwe ni miongoni mwa wanyama waliokuwa karibu sana kimfumo ( utendaji wa mifumo mwilini) na binadamu kuliko wanyama wote, hivyo basi ukila nyama yake unakuwa karibu mno na kula NYAMA ya mtu-- kwa maneno mengine ladha ya nyama ya nguruwe inafanana na ladha ya nyama ya mtu, ndiyo maana madaktari leo duniani wanafanyia utafiti wa viungo vya nguruwe kama Maini, macho, mapafu, kongosho nk, viwe viungo mbadala kwa ajili ya binadamu, na hiyo ndiyo faida ya nguruwe kwa binadamu na siyo kula nyama yake.

Ndiyo maana vitabu vitakatifu vyote, vya waislamu, wakristo ,wayahudi vimeharamisha kitimoto kwa sababu ni nyama yenye madhara mengi katika mwili wa binadamu inapoliwa.
We nae...mi hata hainiingii akilini. Hiyo kampeni yako kuhusu nguruwe na ushoga naona umeikazania sana. Tangu nianze kula hiyo kitu ni zaidi ya miaka 30 sijaona mabadiliko. By the way mimi ni mwanamke acha tu niwe shoga haina madhara
 
We nae...mi hata hainiingii akilini. Hiyo kampeni yako kuhusu nguruwe na ushoga naona umeikazania sana. Tangu nianze kula hiyo kitu ni zaidi ya miaka 30 sijaona mabadiliko. By the way mimi ni mwanamke acha tu niwe shoga haina madhara


Ukiwa mwanamke ndiyo hatari zaidi kwasababu nafsi itakutuma uwape wanaume "kinyume cha maumbile", sasa wewe unapenda utoe kupitia njia hiyo??!!.

Halafu huku kwetu Afrika hatuli kitimoto bali tunainja tu, wanaokula kitimito (staple food) ni Ulaya na Marekani na china, wao huko ni sawa na huku kwetu kula chakula rahisi kama ugali na dagaa na maharage na ndio maana mashoga ni wengi sana huko hadi katiba za nchi zao zinawambua na kuwapa haki kama watu wengine.

Na mbaya zaidi wao (wazungu) wanataka hata sisi tuwe mashoga kama wao na tuwatambue kwenye katiba.

Huku kwetu ni ngumu sana kwasababu ulaji wa kitimoto ni mdogo sana ukilinganisha na wao,lakini ulaji wa kitimoto ukizidi kama ulivyokuwa huko kwao basi hakutakuwa na shurutisho kutoka nje kwamba tuwe mashoga bali "natural circumstance" itokanayo na ulaji wa hiyo nyama itatulazimisha tuwe mashoga kama jinsi wao (Wazungu) walivyolazimishwa na hiyo "natural circumstance".

Najua utachukia sana kusikia jambo hili lakini huo ndiyo ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Ukiwa mwanamke ndiyo hatari zaidi kwasababu nafsi itakutuma uwape wanaume "kinyume cha maumbile", sasa wewe unapenda utoe kupitia njia hiyo??!!.

Halafu huku kwetu Afrika hatuli kitimoto bali tunainja tu, wanaokula kitimito (staple food) ni Ulaya na Marekani na china, wao huko ni sawa na huku kwetu kula chakula rahisi kama ugali na dagaa na maharage na ndio maana mashoga ni wengi sana huko hadi katiba za nchi zao zinawambua na kuwapa haki kama watu wengine.

Na mbaya zaidi wao (wazungu) wanataka hata sisi tuwe mashoga kama wao na tuwatambue kwenye katiba.

Huku kwetu ni ngumu sana kwasababu ulaji wa kitimoto ni mdogo sana ukilinganisha na wao,lakini ulaji wa kitimoto ukizidi kama ulivyokuwa huko kwao basi hakutakuwa na shurutisho kutoka nje kwamba tuwe mashoga bali "natural circumstance" itokanayo na ulaji wa hiyo nyama itatulazimisha tuwe mashoga kama jinsi wao (Wazungu) walivyolazimishwa na hiyo "natural circumstance".

Najua utachukia sana kusikia jambo hili lakini huo ndiyo ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Acha ujinga we mjamaa. Tutaendelea kula, campain yako imefail
 
Acha ujinga we mjamaa. Tutaendelea kula, campain yako imefail


Dada Meeyah, mimi sijakukataza kula kitimoto na wala sifanyi kampeni kuzuia watu waache kula au kuuza vitimoto, nafahamu hii ni biashara kubwa kwa baadhi ya watu---- lakini nikiwa kama binadamu mwenye huruma kwa binadamu wenzangu basi ninawajibika kueleza ukweli kwa faida yenu/yao na atakayeguswa na ukweli huu ndiyo faida ya habari hii, kwani hujaona juu ya paketi ya sigara kuna maneno haya; " Smoking cigarettes is bad for your heathy"??-- maneno hayo yameandikwa na haohao wanaotengeneza hizo sigara, lakini wapo wanaozingatia na kuacha kuvuta na wapo wanaoendelea kuvuta licha ya tahadhari, na mimi nasema " pork eating is bad for your healthy". Ni juu yako sasa kuamua, Dada yangu mpendwa.
 
Ukiwa mwanamke ndiyo hatari zaidi kwasababu nafsi itakutuma uwape wanaume "kinyume cha maumbile", sasa wewe unapenda utoe kupitia njia hiyo??!!.

Halafu huku kwetu Afrika hatuli kitimoto bali tunainja tu, wanaokula kitimito (staple food) ni Ulaya na Marekani na china, wao huko ni sawa na huku kwetu kula chakula rahisi kama ugali na dagaa na maharage na ndio maana mashoga ni wengi sana huko hadi katiba za nchi zao zinawambua na kuwapa haki kama watu wengine.

Na mbaya zaidi wao (wazungu) wanataka hata sisi tuwe mashoga kama wao na tuwatambue kwenye katiba.

Huku kwetu ni ngumu sana kwasababu ulaji wa kitimoto ni mdogo sana ukilinganisha na wao,lakini ulaji wa kitimoto ukizidi kama ulivyokuwa huko kwao basi hakutakuwa na shurutisho kutoka nje kwamba tuwe mashoga bali "natural circumstance" itokanayo na ulaji wa hiyo nyama itatulazimisha tuwe mashoga kama jinsi wao (Wazungu) walivyolazimishwa na hiyo "natural circumstance".

Najua utachukia sana kusikia jambo hili lakini huo ndiyo ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Asili ya mnyama nguruwe ni hapahap Africa.Na wazee wetu wamekula kitimoto karne na milenia kadhaa zilizopita.wewe unaongea pumba.Mbon a zaman hizi mambo hzikuwepo?anyway hizi mmbo zishatabiliwa hivyo ni lzima yatokee ila ole atakayekuwa chnzo cha kutimiza unabii huu ovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asili ya mnyama nguruwe ni hapahap Africa.Na wazee wetu wamekula kitimoto karne na milenia kadhaa zilizopita.wewe unaongea pumba.Mbon a zaman hizi mambo hzikuwepo?anyway hizi mmbo zishatabiliwa hivyo ni lzima yatokee ila ole atakayekuwa chnzo cha kutimiza unabii huu ovu

Sent using Jamii Forums mobile app


Acha kudanganya umma!!, Nguruwe wote waliopo Africa ni sawa na idadi ya nguruwe pori walioko katika jimbo moja la America (California), hapo hujagusa nguruwe waliopo katika majimbo mrngine ya America, canada, Brazil,Mexico na Latin America yote, hapo bado hujaguswa wale nguruwe wa kufugwa.

Nenda ulaya yote imejaa nguruwe wa kufugwa hapo hujagusa Baba lao China, nenda Pajistani na India huko kumejaa nguruwe pori kama sisimizi, bado hujagusa Philippines na Japan, Bangladesh n Indonesia nk.---- Halafu wewe unaibuka na kusema nguruwe wemetoka Africa!!!?😁😁😁

Babu zetu hawakuwa wakila nguruwe bali walikuwa wakila jamii ya swala, nguruwe walikuwa chakula cha Simba na Chui huko porini ni siku hizi tu kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na kumetokea mabadiliko ya "tabia watu" kwamba watu wakaanza kula utumbo wa ng'ombe na mbuzi, miguu ya kuku na utumbo wake, supu ya makongoro nk.

Nguruwe kwa asili ya Muafrika alikuwa ni mnyama mchafu kwa sababu anapenda kula vitu vichafu na matendo machafu ambapo mtu akimla anaweza kuambukizwa tabia zake chafu na ndiyo maana Mungu kamuharamisha kuliwa.
 
Ukiwa mwanamke ndiyo hatari zaidi kwasababu nafsi itakutuma uwape wanaume "kinyume cha maumbile", sasa wewe unapenda utoe kupitia njia hiyo??!!.

Halafu huku kwetu Afrika hatuli kitimoto bali tunainja tu, wanaokula kitimito (staple food) ni Ulaya na Marekani na china, wao huko ni sawa na huku kwetu kula chakula rahisi kama ugali na dagaa na maharage na ndio maana mashoga ni wengi sana huko hadi katiba za nchi zao zinawambua na kuwapa haki kama watu wengine.

Na mbaya zaidi wao (wazungu) wanataka hata sisi tuwe mashoga kama wao na tuwatambue kwenye katiba.

Huku kwetu ni ngumu sana kwasababu ulaji wa kitimoto ni mdogo sana ukilinganisha na wao,lakini ulaji wa kitimoto ukizidi kama ulivyokuwa huko kwao basi hakutakuwa na shurutisho kutoka nje kwamba tuwe mashoga bali "natural circumstance" itokanayo na ulaji wa hiyo nyama itatulazimisha tuwe mashoga kama jinsi wao (Wazungu) walivyolazimishwa na hiyo "natural circumstance".

Najua utachukia sana kusikia jambo hili lakini huo ndiyo ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Uongo mtupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani sana mkuu, mimi sikukatazi kula kitimoto lakini huenda hichi nitakacho kueleza kikakushangaza lakini ndiyo ukweli.

Katika Wanyama "wanaoliwa" na binadamu ni Nguruwe pekee anayefanya Ushoga (sodomy), ukiweka madume ya nguruwe pamoja hata kama majike wapo aghlabu kuyaona yakifanyana wao kwa wao, wataalamu wa lishe na chakula wanasema "you are what you eat", yaani mtu yupo (kitabia na mienendo) kulingana na chakula alacho, sasa kwa watu wanaokula sana kitimoto kuna uwezekano mkubwa wao kuwa mashoga sababu ya kula hiyo nyama.

Nguruwe ni miongoni mwa wanyama waliokuwa karibu sana kimfumo ( utendaji wa mifumo mwilini) na binadamu kuliko wanyama wote, hivyo basi ukila nyama yake unakuwa karibu mno na kula NYAMA ya mtu-- kwa maneno mengine ladha ya nyama ya nguruwe inafanana na ladha ya nyama ya mtu, ndiyo maana madaktari leo duniani wanafanyia utafiti wa viungo vya nguruwe kama Maini, macho, mapafu, kongosho nk, viwe viungo mbadala kwa ajili ya binadamu, na hiyo ndiyo faida ya nguruwe kwa binadamu na siyo kula nyama yake.

Ndiyo maana vitabu vitakatifu vyote, vya waislamu, wakristo ,wayahudi vimeharamisha kitimoto kwa sababu ni nyama yenye madhara mengi katika mwili wa binadamu inapoliwa.
Zanzibar kuna idadi kubwa ya mashoga inamana nao wamekua mashoga kw sababu ya kula nguruwe???
Lini umeskia mtu kawa shoga kw 7bu ya kula nguruwe??

We kama huli kimpango wko.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar kuna idadi kubwa ya mashoga inamana nao wamekua mashoga kw sababu ya kula nguruwe???
Lini umeskia mtu kawa shoga kw 7bu ya kula nguruwe??

We kama huli kimpango wko.


Sent using Jamii Forums mobile app


Mashoga wa Zanzibar wametoka sehemu mbalimbali kama Kenya, Tz, Msumbiji, wamekwenda kufanya ushoga na watalii si unajua zanzibar ni mji wa utalii?!!,
 
Kwa iyo wte hao walikula kwnz kitimoto au

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapa ningependa kufafanua jambo moja, ni kwamba SIO mashoga wote wamekuwa hivyo kutokana na kula kiti moto ila ukiangalia asilimia kubwa ya Mashoga utakuta walianza kula kitimoto tangu wakiwa wadogo (tender age), na walikuwa wakila sana (staple food).--- sisi huku Afrika hatuli kitimoto bali tunaonja tu, mtu anakula vinofu 2-3 kwa wiki mara moja!!, huko ulaya mtu anakula nusu kilo kila siku!!🤔🤔, hapo na wewe utajifanya ni mlaji au muonjaji?!!🤣🤣
 
Acha kudanganya umma!!, Nguruwe wote waliopo Africa ni sawa na idadi ya nguruwe pori walioko katika jimbo moja la America (California), hapo hujagusa nguruwe waliopo katika majimbo mrngine ya America, canada, Brazil,Mexico na Latin America yote, hapo bado hujaguswa wale nguruwe wa kufugwa.

Nenda ulaya yote imejaa nguruwe wa kufugwa hapo hujagusa Baba lao China, nenda Pajistani na India huko kumejaa nguruwe pori kama sisimizi, bado hujagusa Philippines na Japan, Bangladesh n Indonesia nk.---- Halafu wewe unaibuka na kusema nguruwe wemetoka Africa!!!?

Babu zetu hawakuwa wakila nguruwe bali walikuwa wakila jamii ya swala, nguruwe walikuwa chakula cha Simba na Chui huko porini ni siku hizi tu kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na kumetokea mabadiliko ya "tabia watu" kwamba watu wakaanza kula utumbo wa ng'ombe na mbuzi, miguu ya kuku na utumbo wake, supu ya makongoro nk.

Nguruwe kwa asili ya Muafrika alikuwa ni mnyama mchafu kwa sababu anapenda kula vitu vichafu na matendo machafu ambapo mtu akimla anaweza kuambukizwa tabia zake chafu na ndiyo maana Mungu kamuharamisha kuliwa.
acha kupotosha watu.Biblia imetuambia tuache kusema kitu alichoumba Mungu ni kichafu/najisi.
Kuleni vyote ili mradi hakikudhuru.

Hayo unayosema ni hadithi tu wala hazina uthibitisho wowote,Kibiblia n kikawaida.
Acha kuwafanya watu watumwa katika mazingira yao wenyewe.Hakuna kilicho kichafu hata siku moja wala kilichonajisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuleni vyote ili mradi hakikudhuru


Unapokula Kitimoto kinadhuru mwili na akili.-- si unaona jinsi wazungu walivyokuwa mashoga, wamedhurika kwa kula sana kitimoto.--- ukila kitimoto unakuwa KARIBU sana na kula nyama ya mtu.
 
acha kupotosha watu.Biblia imetuambia tuache kusema kitu alichoumba Mungu ni kichafu/najisi.
Kuleni vyote ili mradi hakikudhuru.

Hayo unayosema ni hadithi tu wala hazina uthibitisho wowote,Kibiblia n kikawaida.
Acha kuwafanya watu watumwa katika mazingira yao wenyewe.Hakuna kilicho kichafu hata siku moja wala kilichonajisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ndio unapotosha watu mkuu.
 
Hapa ningependa kufafanua jambo moja, ni kwamba SIO mashoga wote wamekuwa hivyo kutokana na kula kiti moto ila ukiangalia asilimia kubwa ya Mashoga utakuta walianza kula kitimoto tangu wakiwa wadogo (tender age), na walikuwa wakila sana (staple food).--- sisi huku Afrika hatuli kitimoto bali tunaonja tu, mtu anakula vinofu 2-3 kwa wiki mara moja!!, huko ulaya mtu anakula nusu kilo kila siku!!, hapo na wewe utajifanya ni mlaji au muonjaji?!!
Umejuaje wanakula vinofu 2-3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom