Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,353
- 8,462
Ni Jumatatu tulivu tenaaa
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.
Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?
Hivi hili katazo ambalo tunakutana nalo kwenye nyumba za kulala wageni iwe lodge, guest au hotel ya kuwa hawaruhusiwi kulala wanaume wawili limekaaje wandugu? Au limezingatia nini hasa hadi kuwekwa maana ka wengine naona sio sawa kabisa wengine tuna safari tunafikia sehemu na bajeti inabana kweli tuchukue room 2 kulala masaa kadhaa tu tuendelee na safari zetu.
Sijajua ni katazo la kiserikali yani kuna hiyo sheria au ni maamuzi tu ya wenye hizo biashara hebu wanaojua watujuze, na kama ishu ni ushoga hahah mbona wanawake wanalala au wao hawahofiwi kuwa wasagaji?