Katazo Batili la Mikutano ya kisiasa liondolewe ili kurudisha nchi yetu kwenye mapambano ya hoja

Kwani liliwekwa katazo la kuanzisha vyama vipya?

Lakini personally sioni kama kuna haja ya mtu au kikundi kuanzicha chama kipya kabisa cha siasa. CHADEMA, CUF na vile vingine vya kwenye briefcase vinatosha unless ofcourse hilo kundi jipya lengo ni kupiga hela na sio kuja kuleta upinzani wenye tija
Duuhh Consultant
 
Badirika tu mkuu. Usisubiri mama aseme, utakua umechelewa.
Ndicho nilichosema. Hii tabia ya kuombaomba kila kitu na kusubiri mtu aseme ndo upate haki yako sio sawa

Mwenye kutaka kufanya mkutano yeye afuate taratibu tu na kwa sasa hakuna mtu ataweka kiwingu. Hakuna haja ya kumsubiri Mama kutengua kauli iliyotolewa jukwaani. Huenda hata hakumbuki kitu hicho

Cha kuomba mama atoe tamko na amri ni hii haja ya kutumia VPN kwenye kuaccess baadhi ya social media
 
It was my personal view. Nothing to do with KATIBA.

Harafu hakuna aliyezuiliwa kuanzisha chama kipya cha siasa kama ametimiza vigezo na masharti. Mkitaka mnaweza kuwa na vyama 200
Tulia hivyo hivyo.
 
Ndicho nilichosema. Hii tabia ya kuombaomba kila kitu na kusubiri mtu aseme ndo upate haki yako sio sawa

Mwenye kutaka kufanya mkutano yeye afuate taratibu tu na kwa sasa hakuna mtu ataweka kiwingu. Hakuna haja ya kumsubiri Mama kutengua kauli iliyotolewa jukwaani. Huenda hata hakumbuki kitu hicho

Cha kuomba mama atoe tamko na amri ni hii haja ya kutumia VPN kwenye kuaccess baadhi ya social media
Nimekuelewa mkuu. Nadhani tulikua pabaya kidemokrasia, sasa tuungane tujenge nchi yetu.
 
Akuna mikutano.muacheni mama achape kazi.mnataka muanze kuhamasisha migomo na maandamano ya kipuuzi kwenye majukwaa ya mikutano.
 
Mikutano ya siasa ni ujinga mtupu. Kwanza imejaa fitna na uongo mwingi. Tunaweza kuambiwa kuwa waziri mkuu ni fisadi papa, lkn 2025 akinunua viongozi wa upinzani gia itabadilishwa fasta na kuitwa mkombozi wa watanzania kama ilivyotokea 2015
Polepole/Channel Ten ndio wasema kweli, wapenzi wa 'mungu'
 
Tajiri, na siku nyingine wakitokea watu wanaowaacha mfanye mpendayo bila kuvunja sheria msiwaite tena “Dhaifu “.
Umeniita ninavyopaswa kuitwa , na ukiona mtu kabaki na utajiri wake hadi kipindi hiki ujue huyo ni mwamba
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

View attachment 1745136
IMG-20210406-WA0059.jpg
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kunukuliwa miaka kadhaa iliyopita akitamka kwamba " CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI " hapa alimaanisha kwamba Uhai wa Chama chochote cha siasa unategemea na harakati za kisiasa za chama husika kwa kunadi sera zake hadharani kwa wananchi kwa kutumia maandamano na Majukwaa halali ya kisiasa , hii maana yake ni kupiga mikutano ya hadhara nchi nzima bila masharti kama ilivyokuwa awali .

Tukitaka kuirejesha nchi yetu heshima yake iliyopotea kwa miaka zaidi ya 6 ni lazima turudishe demokrasia ya vyama vingi kama ilivyoainishwa ndani ya katiba ya nchi , turuhusu wanaotaka kuanzisha vyama vingine vipya vya siasa waingie mabarabarani na majukwaani kusaka wanachama 200 kwenye mikoa iliyoainishwa bara na visiwani , hatuna haja ya kuogopa , hiyo ndio Demokrasia yenyewe .

Mzee Kikwete aliwahi kunukuliwa akitamka maneno haya hapa chini .

View attachment 1745136
Kwa vile hakukuwa na tamko rasmi kisheria kupiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa, ni wajibu wa vyama hivyo kuanza shughuli hizo bila kusubiri "ruksa rasmi."

ACT-Wazalendo sio tu wametangaza kushiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe bali pia mgombea wao hajazuiliwa kuchukua fomu, na hata pingamizi alilowekewa na mgombea wa CCM limetupwa.
20210407_005145.jpg
Screenshot_20210407-005130.jpg
 
Kwa vile hakukuwa na tamko rasmi kisheria kupiga marufuku shughuli halali za vyama vya siasa, ni wajibu wa vyama hivyo kuanza shughuli hizo bila kusubiri "ruksa rasmi."

ACT-Wazalendo sio tu wametangaza kushiriki uchaguzi mdogo jimbo la Muhambwe bali pia mgombea wao hajazuiliwa kuchukua fomu, na hata pingamizi alilowekewa na mgombea wa CCM limetupwa. View attachment 1745427View attachment 1745428
Mkuu Kwa sasa ACT ni sehemu ya watawala
 
Back
Top Bottom