Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Duuhh ConsultantKwani liliwekwa katazo la kuanzisha vyama vipya?
Lakini personally sioni kama kuna haja ya mtu au kikundi kuanzicha chama kipya kabisa cha siasa. CHADEMA, CUF na vile vingine vya kwenye briefcase vinatosha unless ofcourse hilo kundi jipya lengo ni kupiga hela na sio kuja kuleta upinzani wenye tija