Duniani kote vyuo vikuu ni chanzo cha kuzalisha wataalamu wa sekta mbali mbali na kufanya tafiti za kutatua matatizo yanayoikumba jamii husika. Hapa nchini kumekuwa na wimbi la uanzishwaji wa vyuo vikuu kwa wingi sana, ni jambo zuri la kupigiwa mfano, mojawapo ni chuo kikuu cha umma cha kilimo cha KATAVI. Mwenye kujua chuo hiki kinatoa kozi gani na kwa ngazi gani atufahamishe tafadhali.