Katavi: Tundu Lissu apinga Muswada wa Sheria ya Usalama wa Taifa kuwasilishwa bungeni, adai utaleta Ukiritimba

Hayo marekebisho ndio sahihi na yanaleta uhalisia. Utawala bora ilikuwa kivuli tu bora ijulikane direct Rais yuko responsible.

Hofu ya kuondolewa Polisi kwa wagombea itabadili nini wakiwa usalama? Bado Rais ni amri jeshi mkuu akitaka taarifa atazipata tu.

Issue ya Usalama kukatazwa kufanya kazi za Polisi nafikiri iliwafunga mikono Usalama na wakati mwingine kuhatarisha kuharibu operation zao. Ijulikane tu aina ya makosa watayo deal nayo direct bila kupitia Polisi.
Kwakweli warudishiwe meno yao, maana kuwaondolea hayo meno kunali cost sana nchi
 
Usalama wa Taifa nachojua wana ripoti moja kwa moja kwa Mh. Rais, na iko chini ya Mh. Rais, nadhani hiyo sheria eti Usalama wa Taifa iwe chini ya Waziri wa Utawala Bora ni kosa.

Kiutekelezaji hata sasa, Usalama wa Taifa wana ripoti kwa Mh. Rais, hivyo sheria ikibadilishwa na waripoti kwa Mh Rais, itakuwa bora, sbb kiutendaji hata sasa iko hivyo.

Tundu Lissu anaropoka hovyo, hajui kitu
Kwakua wanajua umamluki wa baadhi ya watu utafutwa na watu watarejesha nidhamu...
 
Kama rais ataendelea kuwa juu ya sheria, mambo mengi yataendelea kutekelezwa kwa utashi wa rais na sio kwa sheria. Tukitaka sheria wangalau ziwe na meno, kinga ya kutoshtakiwa ya rais iondolewe. Na haya hayawezi kupatikana kwa katiba hii. Na ili ipatikane katiba ya kumdhibiti rais ni aidha yatokee machafuko, au serikali kupinduliwa. Kinyume na hapo, hiyo katiba ya maridhiano italeta mabadiliko mepesi tu.
Hili la msingi, Rais pia awe moderated asiwe ndiye alpha na omega, mihimili itengenishwe na iheshimike ili kuwe na balance of power
 
Usalama wa Taifa nachojua wana ripoti moja kwa moja kwa Mh. Rais, na iko chini ya Mh. Rais, nadhani hiyo sheria eti Usalama wa Taifa iwe chini ya Waziri wa Utawala Bora ni kosa.

Kiutekelezaji hata sasa, Usalama wa Taifa wana ripoti kwa Mh. Rais, hivyo sheria ikibadilishwa na waripoti kwa Mh Rais, itakuwa bora, sbb kiutendaji hata sasa iko hivyo.

Tundu Lissu anaropoka hovyo, hajui kitu
Kwamba hamfuati sheria tena siku hizi , hiyo ruhusa kawapa nani ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
No hapa kachemka. Hata polisi wako chini ya rais kiufupi rais alitaka taarifa yoyote anapata. Hata alitaka jue Jana umelala na Malaya Gani atajua tu

..sio kweli.

..raisi hatakiwi kuvunja haki za wengine.

..kama raia hatakiwi kufahamu kama kiongozi wetu amelala na malaya, basi kiongozi naye hana haki ya kujua kama raia amelala na malaya.

..Raisi wa Marekani, Richard Nixon, mwanachama wa chama cha Republican, alilazimika kujiuzulu baada ya kubainika kwamba alituma watu kutega vinasa sauti ktk makao makuu ya kampeni za Uraisi za mgombea wa chama cha Democrat.

..sijui kwanini Watanzania tunaamini Rais ana haki ya kutudhulumu au kutuvunjia haki zetu.
 
..sio kweli.

..raisi hatakiwi kuvunja haki za wengine.

..kama raia hatakiwi kufahamu kama kiongozi wetu amelala na malaya, basi kiongozi naye hana haki ya kujua kama raia amelala na malaya.

..Raisi wa Marekani, Richard Nixon, mwanachama wa chama cha Republican, alilazimika kujiuzulu baada ya kubainika kwamba alituma watu kutega vinasa sauti ktk makao makuu ya kampeni za Uraisi za mgombea wa chama cha Democrat.

..sijui kwanini Watanzania tunaamini Rais ana haki ya kutudhulumu au kutuvunjia haki zetu.
"Kwetu ni kwao na kwao kusiwe kwetu kwa nini?" Saadan Kandoro. Ny*ti zetu wazisome na zao tusizisome kwa nini?
 
Hayo marekebisho ndio sahihi na yanaleta uhalisia. Utawala bora ilikuwa kivuli tu bora ijulikane direct Rais yuko responsible.

Hofu ya kuondolewa Polisi kwa wagombea itabadili nini wakiwa usalama? Bado Rais ni amri jeshi mkuu akitaka taarifa atazipata tu.

Issue ya Usalama kukatazwa kufanya kazi za Polisi nafikiri iliwafunga mikono Usalama na wakati mwingine kuhatarisha kuharibu operation zao. Ijulikane tu aina ya makosa watayo deal nayo direct bila kupitia Polisi.

..Rais hatakiwi kutumia usalama wa taifa, kupeleleza, au kupata taarifa za kampeni za washindani wake, wakati wa uchaguzi.

..Ni makosa makubwa sana kwa Raisi kuvunja au kukiuka sheria na miiko ya Usalama wa Taifa.

..Ni afadhali Rais avunje sheria nyingine zote, lakini sio sheria zinazohusiana na mamlaka yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya ulinzi na Usalama.
 
..Rais hatakiwi kutumia usalama wa taifa, kupeleleza, au kupata taarifa za kampeni za washindani wake, wakati wa uchaguzi.

..Ni makosa makubwa sana kwa Raisi kuvunja au kukiuka sheria na miiko ya Usalama wa Taifa.

..Ni afadhali Rais avunje sheria nyingine zote, lakini sio sheria zinazohusiana na mamlaka yake kama Amiri Jeshi Mkuu wa Vyombo vya ulinzi na Usalama.
This is obvious hata wewe ungefanya hivyo. It is human nature
 
This is obvious hata wewe ungefanya hivyo. It is human nature
Ili tuzuie hilo la ubinadamu na nature yake, ndiyo sababu inatakiwa moderation kwenye power ya Rais, kwamba wakati wa uchaguzi Judge Mkuu ndiye awe in the throne, na huyo baada ya Rais mpya kuingia a staafu...Unaona kabisa unavyoweza kuvunja hizo conflict of interests...Pia itaweka balance kwa wagombea kwakua Judge Mkuu siyo mwanasiasa.
 
Ili tuzuie hilo la ubinadamu na nature yake, ndiyo sababu inatakiwa moderation kwenye power ya Rais, kwamba wakati wa uchaguzi Judge Mkuu ndiye awe in the throne, na huyo baada ya Rais mpya kuingia a staafu...Unaona kabisa unavyoweza kuvunja hizo conflict of interests...Pia itaweka balance kwa wagombea kwakua Judge Mkuu siyo mwanasiasa.
Amen

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
..ndio maana kuna sheria na adhabu kama sheria itakiukwa.

..sio sahihi kumpa Rais mamlaka bila kuwa na sheria za kumuwajibisha akifanya ndivyo-sivyo.

..Kutamka kwenye Katiba kwamba Rais hatashtakiwa ni kutengeneza MUNGU-MTU.
Hili ni la msingi sana...Kila mtu lazima aiogope na kuiheshimu Jamuhuri, mambo ya wengine kuwa kama wafalme yakomeshwe na uchawa utakufa naturally...
 
Issue ya Usalama kukatazwa kufanya kazi za Polisi nafikiri iliwafunga mikono Usalama na wakati mwingine kuhatarisha kuharibu operation zao. Ijulikane tu aina ya makosa watayo deal nayo direct bila kupitia Polisi.
WASIOJULIKANA ndo wanahalalishwa kihivyo yani!
 
Back
Top Bottom