Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,383
Kama rais ataendelea kuwa juu ya sheria, mambo mengi yataendelea kutekelezwa kwa utashi wa rais na sio kwa sheria. Tukitaka sheria wangalau ziwe na meno, kinga ya kutoshtakiwa ya rais iondolewe. Na haya hayawezi kupatikana kwa katiba hii. Na ili ipatikane katiba ya kumdhibiti rais ni aidha yatokee machafuko, au serikali kupinduliwa. Kinyume na hapo, hiyo katiba ya maridhiano italeta mabadiliko mepesi tu.