Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Wanawake wanaoishi kandokando ya ziwa Tanganyika mpakani na Zambia wanalazimika kuweka maisha yao rehani ili kutafuta huduma za uzazi Zambia kwa kuvuka ziwa Tanganyika.
Wananchi wa vijiji hivyo wamesema toka uhuru hawajawahi kuwa na kituo cha zahani hivyo wamekua wakipata shida sana linapo kuja swala la uzazi.
Source : BBC Swahili
Wananchi wa vijiji hivyo wamesema toka uhuru hawajawahi kuwa na kituo cha zahani hivyo wamekua wakipata shida sana linapo kuja swala la uzazi.
Source : BBC Swahili