BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
hao wazungu unaowahusudu wakitoaga tenda huwa hawawalipi hawa mafundi??
Inadepend
hao wazungu unaowahusudu wakitoaga tenda huwa hawawalipi hawa mafundi??
Mwisho angeambiwa asisogelee Mkoa wa Katavi kama The FarmerSasa kamanda, kuvunja hayo madirisha ndio solution kweli!! Si anaharibu cv yake na kupelekea kutoaminiwa na wateja wengine...alitakiwa apambane mpaka mwisho muhimu asidhulumike!
Ni sehemu chache sana nchi hii mafundi wamelipwa na halmashauri, kila anakopita Rais, waziri mkuu malalamiko ni hayohayo, au majengo hayatengewi bajeti ya madirisha?Ndio tatizo la mswahili..huwa hatuna uvumilivu...utafkiri hayo malipo watamdhulumu.
HAKUNA KAZI NGUMU KAMA UHAKIMU. SIJUI ITATOLEWA HUKUMU GANI HAPO. JAMAA ANADAI KWELI. LAKINI KAHARIBU ANACHOKIDAI !!! DUH SIPATI PICHA NA ANATAKIWA KUISAIDIA PORIS, KAZI IPO.Mkandarasi aliyefahamika kwa jina la Boniface Exavery, ambaye alitengeneza madirisha ya Almunium na katika Kituo cha Afya cha Katumba, Halmashauri ya Nsimbo ya mkoani Katavi, ameyavunja madirisha hayo, kwa kile alichokidai kutokamilishiwa malipo yake na ofisi ya Halmashauri huku akiwaameshamaliza kazi.
Akizungumza mara baada ya kutembelea eneo hilo, Mkuu wa Mkoa wa Katavi Juma Homera, amedai mradi huo ulikuwa umekiuka taratibu mbalimbali za kisheria, ikiwemo upatikanaji wa tenda hiyo.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, mwenyewe ameeleza kushtushwa na hatua ya Mkandarasi huyo, na kueleza taarifa za awali walizipata kutoka kwa wananchi, na kulitaka Jeshi la Polisi kumshikiria Mkandarasi huyo, huku akikiri Halmashauri kutomlipa malipo yake.
Mmoja wa Wakandarasi ambaye anajulikana kama Bulaya Mushi, ambaye na yeye anaidai Halmashauri hiyo kwenye mradi huo wa Kituo cha Afya, amemuomba Mkuu wa Mkoa kuangalia madai yao ili waweze kulipwa na Halmashauri hiyo.
Jina lenyewe lina gundu 100% Mchanyiko tata kabisa wa wasiotakiwa!Mmoja wa Wakandarasi ambaye anajulikana kama Bulaya Mushi, ambaye na yeye anaidai Halmashauri hiyo kwenye mradi huo wa Kituo cha Afya, amemuomba Mkuu wa Mkoa kuangalia madai yao ili waweze kulipwa na Halmashauri hiyo.
Huenda wakati anaenda kuyang'oa madirisha yake akiyozulumiwa ndio uharibifu ukatokea kwenye madirisha yake hapo mwenye hatia ni Mkurugenzi.HAKUNA KAZI NGUMU KAMA UHAKIMU. SIJUI ITATOLEWA HUKUMU GANI HAPO. JAMAA ANADAI KWELI. LAKINI KAHARIBU ANACHOKIDAI !!! DUH SIPATI PICHA NA ANATAKIWA KUISAIDIA PORIS, KAZI IPO.
The Farmer and the Mason huu utawala umejaa MaBob Mazishi in Green uniforms
Nina uhakika kabisa kwamba haujawahi kufanya kazi na hizi halmashauri....hata ukibisha huo ndio ukweli kwamba haujawahi.Ndio tatizo la mswahili..huwa hatuna uvumilivu...utafkiri hayo malipo watamdhulumu.
hujui almashauri zetu mkuu....pesa wanakula wao...I could have done the same.
Nina uhakika kabisa kwamba haujawahi kufanya kazi na hizi halmashauri....hata ukibisha huo ndio ukweli kwamba haujawahi.
Je unajua Kuna wazabuni mbalimbali wamefanya kazi na hizi halmashauri na wameishafuatilia miaka mingi wakizungushwa hadi wakaamua kuacha hizo fedha?
Wapo wengi sana sana na hata hapa wapo wanasoma hili tukio ni mashahidi.
Sisi wenyewewe tuliishaacha 70+ milioni Jiji la Mwanza, na takribani 15m huko Nyasa DC. Sio hapo, tumeacha takribani 30m Tume ya Madini Dodoma.
Orodha ni ndefu na nimesahau kiwango tulichoacha temeke DC.
kwahiyo rodha ni ndefu halafu sasa unakuta umechukua mkopo benki, na wafanyakazi wanadai ila ukienda halmashauri wanakuzungusha na kukwambia pesa imetumika kwenye dharura na mambo mengine. Halafu kitu kibaya ni kwamba kazi yako ndio wanajisifu nayo kwenye vyombo vya habari.
Namuunga mkono huyu fundi, na ujumbe umewafikia
Mwisho angeambiwa asisogelee Mkoa wa Katavi The Farmer
Halafu iliktakiwa Mzee Baba akatembelee na kukifungua! 😅 😅Nimeona aibu.....
Sasa kamanda, kuvunja hayo madirisha ndio solution kweli!! Si anaharibu cv yake na kupelekea kutoaminiwa na wateja wengine...alitakiwa apambane mpaka mwisho muhimu asidhulumike!
Yaani ufanyiwe kazi halafu usinilipe kwa wakati,sasa pesa itaninufaishaje ukinipa muda ambao haihitajiki?Wewe yawezekana ni mmoja wa wale ambao wakikopa anakuja kulipa baada ya muda wa makubaliano kupita.Ndio tatizo la mswahili..huwa hatuna uvumilivu...utafkiri hayo malipo watamdhulumu.
Action and reaction are equal but opposite in directionKama angeacha ingekuwa alama wazi ya udhalimu aliofanyiwa na kwa vile amevunja hapo ndipo uhujumu unapoanzia na ile mali haikuwa yake na hapo kosa linakuja kuharibu mali ya umma!! Hana uvumilivu