johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,550
- 141,358
KMK mh Hussen Katanga amemuongezea CAG watumishi 104 ili kuongeza kasi ya ukaguzi wa fedha za Uviko katika maeneo mbalimbali .
Naye CAG mh Charles Kicheere amesema wanafanya ukaguzi makini kwa kila shilingi iliyotumika na hakuna sehemu hata moja ambayo haitaguswa na ukaguzi huo maalumu kabisa.
Source: Eatv
Maendeleo hayana vyama!
Naye CAG mh Charles Kicheere amesema wanafanya ukaguzi makini kwa kila shilingi iliyotumika na hakuna sehemu hata moja ambayo haitaguswa na ukaguzi huo maalumu kabisa.
Source: Eatv
Maendeleo hayana vyama!