Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,172
Kwanini nyie msiibe hakuna Chama kama CCM-TanzaniaMaCCM mmepima upepo muone kama chama kipo hai au la,
na kama mnashindwa na ATC=CCM B. CHADEMA mtaiweza wapi nyie, mtaiba na mtakimbia na masanduku ya kura mpaka KIAMA.
CCM ilishajifiaga siku nyingi.