Mkalimani wa taifa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 753
- 1,285
Siasa inalipaWengine mara wanakuna nazi, mara tupande nao daladala, wakishapata kura unaona vieite tu tena tinted....😁
Politicians 🙌
Siasa inalipaWengine mara wanakuna nazi, mara tupande nao daladala, wakishapata kura unaona vieite tu tena tinted....😁
Politicians 🙌
Sana.... inalipa sanasiasa inalipa
Maigizo tu hayo.Mtoto anafungiwaga mgongoni ukiwa umevaa suti?
Kina Kinana walikula ubwabwa maharage kwenye bakuli za plastic ArushaHaya mambo yananikumbusha vituko vya kampeni za uchaguzi....
Kipindi cha kampeni kuwa kuna vimbwanga sanaKina Kinana walikula ubwabwa maharage kwenye bakuli za plastic Arusha
Inshort termSana.... inalipa sana
2025 nagombea, nitakuja kuosha masufuria hapo kwako.Haya mambo yananikumbusha vituko vya kampeni za uchaguzi....
Uje tu na nazi utakuna siku hiyo...2025 nagombea, nitakuja kuosha masufuria hapo kwako.
I could do the same in his placeNaibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto.View attachment 1824788View attachment 1824790View attachment 1824792View attachment 1824794View attachment 1824796View attachment 1824793View attachment 1824795View attachment 1824797
Mbona sasa amevamia uwanja wa kina mama wakati yeye baba...kuwa baba bora sio lazima kujifungasha mtoto mgongoni alaaa.Naibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto.View attachment 1824788View attachment 1824790View attachment 1824792View attachment 1824794View attachment 1824796View attachment 1824793View attachment 1824795View attachment 1824797