SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
Naibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto.
Mtoto anafungiwaga mgongoni ukiwa umevaa suti?Naibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto.View attachment 1824788View attachment 1824790View attachment 1824792View attachment 1824794View attachment 1824796View attachment 1824793View attachment 1824795View attachment 1824797
Ndio mambo ya kutafuta kick haya sasa.Mtoto anafungiwaga mgongoni ukiwa umevaa suti?
Kuwa baba bora sio lazima umfunge mtoto mgonhoni na sio kitendo cha siku moja, its a lifetime duty, sijaona sababu ya yeye kumfunga mtoto mgonhoni ilhali hatujui uhalisia wa maisha yake kama baba ndani ya nyumba yakeNaibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto.View attachment 1824788View attachment 1824790View attachment 1824792View attachment 1824794View attachment 1824796View attachment 1824793View attachment 1824795View attachment 1824797
Hajaoa huyu bachelaKuwa baba bora sio lazima umfunge mtoto mgonhoni na sio kitendo cha siku moja, its a lifetime duty, sijaona sababu ya yeye kumfunga mtoto mgonhoni ilhali hatujui uhalisia wa maisha yake kama baba ndani ya nyumba yake
Nikim'beba yule wangu, mwenyewe atanishangaa japo ni mdogoNi kijana lakini ana mitazamo so outdated. Kama hata ni mila na desturi zetu, ni wanaume wachache sana hubeba watoto mgongoni.
Anambemenda mtoto basiHajaoa huyu bachela
Mambo ya kubebabeba amwachie Richard Kasesera wa IringaNaibu Waziri Kazi, Ajira na Vijana na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi ashiriki Siku ya Baba Duniani kwa kuonesha mfano wa Baba bora ndani ya familia kwa kubeba mtoto
Walikua wanasugua masufuria kwa mama ntilieHaya mambo yananikumbusha vituko vya kampeni za uchaguzi....
Wengine mara wanakuna nazi, mara tupande nao daladala, wakishapata kura unaona vieite tu tena tinted....😁walikua wanasugua masufuria kwa mama ntilie