Msichoke
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 569
- 400
Patrobas Katambi (Mwenyekiti alieng'atuka BAVICHA) amesema kwa picha ya kijeshi jeshi CHADEMA ni sawa na MGAMBO (hawajaiva kisiasa) na CCM ni jeshi kamili (JWTZ) ndio maana amehamia.
Akizungumza hii leo katika mkutano mkuu wa UVCCM,Katambi amesema Upinzani umeshindwa kujenga Imani mioyoni mwa Watanzania.
Akizungumza hii leo katika mkutano mkuu wa UVCCM,Katambi amesema Upinzani umeshindwa kujenga Imani mioyoni mwa Watanzania.