Elevat Kapela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 630
- 1,837
Tatizo la mke kuachika kwa Mme lkn akawa bado anampenda haishi kumuongelea kila alipo. Katambi bado anaipenda ndoa yake ya kwanza iliyombikiri, mwanaume aliyenaye Leo anaishi naye tu kwa sababu ana uwezo wa kifedha lkn CHADEMA iliyombikiri bado anaipenda sana. Katambi vumilia tu japo kwa muda kidogo maana nafahamu utarudi kwenye ndoa yako ya awali.