mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana jamvi,
Kataa au ukubali kuwa US ni police Wa dunia, katika kutekeleza majukumu yake wakati mwingine ni lazima kutumia nguvu hasa kwa wale wanaoonyesha kutunisha vifua. Wapo wanaodai inaonea watu au nayo inakiuka haki, US kama police Wa tz, wakati Wa kukukamata ULA mbata za kutosha.
Ingawaje wako tofauti kidogo, hawa kidogo wanaanza na uchunguzi, watz wanakutia kilema kwanza au kuozea sero bila kushitakiwa kwa muda kadhaa. Au unapewa kesi za uonevu ambazo hazina dhamana.
Cha kushangaza linapokuja kwa viongozi wetu mbona nao wanalalamika? Matendo wafanyayo si kama wanavyofaniwa na police US.
Wakidanyiwa wao wanasema wanaingiliwa. Tukifanyiwa sisi wanatekeza majukumu.
Kataa au ukubali kuwa US ni police Wa dunia, katika kutekeleza majukumu yake wakati mwingine ni lazima kutumia nguvu hasa kwa wale wanaoonyesha kutunisha vifua. Wapo wanaodai inaonea watu au nayo inakiuka haki, US kama police Wa tz, wakati Wa kukukamata ULA mbata za kutosha.
Ingawaje wako tofauti kidogo, hawa kidogo wanaanza na uchunguzi, watz wanakutia kilema kwanza au kuozea sero bila kushitakiwa kwa muda kadhaa. Au unapewa kesi za uonevu ambazo hazina dhamana.
Cha kushangaza linapokuja kwa viongozi wetu mbona nao wanalalamika? Matendo wafanyayo si kama wanavyofaniwa na police US.
Wakidanyiwa wao wanasema wanaingiliwa. Tukifanyiwa sisi wanatekeza majukumu.