PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 866
- 939
Ndugu wana jukwaa habari za muda huu?
Kwa ari ya kushangaza kidogo hi imetokea kwenye kata ya azimio wilaya ya temeke kwenye kipindi Cha uchaguzi wa kura za maoni kumpata muwakirishi wa nafasi ya Udiwani kwa chama Cha mapinduzi kwenye kata ya Azimio.
Mnyukano wa kifedha ulipamba Moto siku moja kabla ya kuingia kwenye kura za maoni tarehe 24/7/2020 Kati ya mshindi wa kwanza mbaye ni mwana mama aliye kuwa diwani viti maalumu miaka kumi nyuma na jamaa mmoja mwenye asili ya kipemba ambaye ameshika nafasi ya pili
Wawili hao waliwapitia wajumbe usiku kwa usiku na kuwaonga pesa na kuaidiwa kupigiwa kura
Sasa wajumbe walichokifanya ni kuangalia mwenye mzigo mkubwa ndio wamempa kura nyingi
Siku ya uchaguzi baada ya matokeo kutoka mwana mama akaongoza kwa kura nyingi sana,na yule jamaa akapata kura ndogo na kumfanya kushika nafasi ya pili.
Kilichofata hapo mshindi wa pili alirudi kwa wale wajumbe na kuomba arudishiwe pesa zake alizowapatia wajumbe na Kama hawata rudisha atawasomea halbadiri wajumbe wote waliokula pesa yake na kutompigia kura wamrudishie pesa zake haraka iwezekanavyo.
Kwa ari ya kushangaza kidogo hi imetokea kwenye kata ya azimio wilaya ya temeke kwenye kipindi Cha uchaguzi wa kura za maoni kumpata muwakirishi wa nafasi ya Udiwani kwa chama Cha mapinduzi kwenye kata ya Azimio.
Mnyukano wa kifedha ulipamba Moto siku moja kabla ya kuingia kwenye kura za maoni tarehe 24/7/2020 Kati ya mshindi wa kwanza mbaye ni mwana mama aliye kuwa diwani viti maalumu miaka kumi nyuma na jamaa mmoja mwenye asili ya kipemba ambaye ameshika nafasi ya pili
Wawili hao waliwapitia wajumbe usiku kwa usiku na kuwaonga pesa na kuaidiwa kupigiwa kura
Sasa wajumbe walichokifanya ni kuangalia mwenye mzigo mkubwa ndio wamempa kura nyingi
Siku ya uchaguzi baada ya matokeo kutoka mwana mama akaongoza kwa kura nyingi sana,na yule jamaa akapata kura ndogo na kumfanya kushika nafasi ya pili.
Kilichofata hapo mshindi wa pili alirudi kwa wale wajumbe na kuomba arudishiwe pesa zake alizowapatia wajumbe na Kama hawata rudisha atawasomea halbadiri wajumbe wote waliokula pesa yake na kutompigia kura wamrudishie pesa zake haraka iwezekanavyo.