AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Wajameni, habarini za leo tena?
Ninakumbuka kuwa jana Kata 23 ambazo hazikufanya uchaguzi wa madiwani wake tarehe 31/10 zilipaswa kuwachagua wawakilishi hao jana. Je, kuna mwenye updates za matokeo? Au yanasubiriwa kutangwaza na NEC TAIFA-DSM?
Ninakumbuka kuwa jana Kata 23 ambazo hazikufanya uchaguzi wa madiwani wake tarehe 31/10 zilipaswa kuwachagua wawakilishi hao jana. Je, kuna mwenye updates za matokeo? Au yanasubiriwa kutangwaza na NEC TAIFA-DSM?