KAT ya HUAWEI Y 300 na NOKIA X+ new model ipi mzuri

Sina utaalamu sana but nimejaribu kuzichunguza Nokia X nimegundua zina mapungufu zaidi kuliko Huawei,kwenye upande wa RAM na Android yake haina playstore otherwise hadi uiroot,inakadiriwa 75 % ya programs za Android ndo zinakubali kuinstall kwny hizi simu tofauti na hizo Huawei ambazo hazibagui.Pia Nokia X zinatumia mini simcard so inakulazimu uzikate line
 
kwa specfctn nilizoona ningekua mimi ningechukua Nokia X+ itafaa kwa uimara, battery life tunawajua nokia wapo vizuri..
 
nataka iwe na uwezo kukaa na charge na km inasapoti instragram, kingne n matumiz ya kawaida cna matumiz makubwa
 
kama unataka charge simu zote mbili ni vimeo. pia nokia x+ haitapatikana kiurahisi sababu nokia wamesema itazinduliwa nchi 7 tu. nokia xl ndio inakaa sana na charge.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom