Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,294
- 217,291
Hii maana yake ni kwamba chadema wilaya ya Kyela sasa imeamua kutafuta pia uungwaji mkono wa wazee wa wilaya hiyo , hasa baada ya kumalizana na vijana .
Taarifa zinaonyesha kwamba Kasyupa Alipipi ambaye alikuwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo na naibu waziri wa kilimo , ni mwanasiasa anayeheshimika zaidi jimboni humo kuliko mwanasiasa yeyote katika hawa walio hai leo.
Mungu ibariki Chadema .
Taarifa zinaonyesha kwamba Kasyupa Alipipi ambaye alikuwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo na naibu waziri wa kilimo , ni mwanasiasa anayeheshimika zaidi jimboni humo kuliko mwanasiasa yeyote katika hawa walio hai leo.
Mungu ibariki Chadema .