kwisha kazi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 690
- 321
Tambala la deki,upo?!Hoja yako ni muflisi .
Tambala la deki,upo?!Hoja yako ni muflisi .
Inakuwa oil chafu baada ya kujiunga na CDM? Mbona hamjasema alipokuwa kwenu.Mwendelezo wa kuchota oil chafu...
Ahahahaha! Napiga picha jinsi ulivyokuwa ukitafuta maneno ya kumzungumzia Mzee Alipipi! Ahahahaha!Hii maana yake ni kwamba chadema wilaya ya Kyela sasa imeamua kutafuta pia uungwaji mkono wa wazee wa wilaya hiyo , hasa baada ya kumalizana na vijana .
Taarifa zinaonyesha kwamba Kasyupa Alipipi ambaye alikuwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo na naibu waziri wa kilimo , ni mwanasiasa anayeheshimika zaidi jimboni humo kuliko mwanasiasa yeyote katika hawa walio hai leo.
Mungu ibariki Chadema .