Kasulu mjini mwalimu machali wa NCCR kashinda.....CCM wanalo....
yeah man....na kuna wakati wana kasulu vijijini walimkimbiza na mawe nsanzu wakimtuhumu kuwafanya wawe na maisha magumu kwa miaka 5 aliokuwepo madarakani......Na Kasulu Vijijini Nsanzugwanko wa CCM alikuwa anakimbizwa mbaya na mama mmoja wa NCCR Mageuzi. Najua mnataka data - zikipatikana tutaweka hapa!