Ameamua kurahisisha mambo....anyway kila mtu abebe msalaba wake mwenyeweWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema wanaopinga chanjo ya #COVID19 hawajaguswa na virusi hivyo katika familia zao, wakiguswa watatafuta chanjo.
Amesisitiza chanjo sio lazima lakini ni muhimu. Wataalamu waliotumika kuchunguza chanjo ni wataalamu wa ndani ambao hawawezi kutaka kuwauza watu wao.
Pamoja na hayo, Waziri Mkuu amesema njia nyingine ziendelee kutumika ikiwemo kula vizuri na kufanya mazoezi na kupata chanjo kwa waliotayari kupata.