Eti vyama rafiki, unafiki CCM ni sehemu ya maisha.Huyu viti maalum naye achunge mdomo wake!Alitaka kuua watia nia jimbo analotoka halafu analeta nyenyenyenye,shwain!
PM wa ovyo kabisa huyu..Ruangwa pale wameteka na kutesa mgombea wa chadema ili huyu mshenzi apite bila ya kupingwa..mambo ya ovyo kabisa kufanywa na waziri mkuu.Eti vyama rafiki wakati kwenye kugombea ubunge walikupitisha bila kupingwa!!
Huku ni kujikosha tu kutokana na dhuluma mlizofanyia wapinzani.
Mikono yenu imejaa damu ili muwe madatakani.Ulikuwepo?
Kwahiyo Chadema ni chama adui?Eti vyama rafiki, unafiki CCM ni sehemu ya maisha.
Angesema anamshukuru Ida wa Chadema.Kwahiyo Chadema ni chama adui?
Aida ana baraka zote za kamati kuu ya Chadema!Angesema anamshukuru Ida wa Chadema.
Eti vyama rafiki wakati kwenye kugombea ubunge walikupitisha bila kupingwa!!
Huku ni kujikosha tu kutokana na dhuluma mlizofanyia wapinzani.
Poleni sana na tabia yenu ya kudanganya WanaJF kuwa mnachuki kumbe mioyoni mwenu mnapenda na kusifia kazi iliyofanywa na Serikali ya CCM, kwa miaka 5 iliyopita chini ya huyo mnayejidai kumshutumu.Alitaka kumuua mbunge wa ACT wazalendo baada ya kuchukua fomu.
Hawa jamaa ni wanyama wakali
Eti vyama rafiki wakati kwenye kugombea ubunge walikupitisha bila kupingwa!!
Huku ni kujikosha tu kutokana na dhuluma mlizofanyia wapinzani.
Halafu anamalizia kwa kusema " nasema uongo ndugu zangu?"Maendeleo hayana vyama (wapinzani walichelewesha maendeleo).
Lakini CCM ndiyo yenye kuleta maendeleo (nileteeni flani ili niwaletee maendeleo, mkichagua upinzani sahauni maendeleo).
Kalaghabao.
Hivi wabunge wa vyama rafiki ni kina nani? Nani ana orodha kamili?Waziri mkuu mh Kassim Majaliwa amewashukuru wabunge wa vyama rafiki Chadema, Cuf na ACT wazalendo kwa kumpigia kura za "ndio" kwenye ushindi wake wa 100% wa kumthibitisha kushika wadhifa huo.
Mh Majaliwa amesema maendeleo hayana chama hivyo atashirikiana na wabunge wote bila kujali itikadi katika kuwaletea maendeleo ya haraka wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Bima ya afya ni hadithi, tujiandae na waganga WA kienyeji Kwa lugha ya Tiba mbadala.Sisi tunasubiri bima ya afya kwa kila mbongo.
Chama oyee
Safi sana, haibu kwa Zitto na LissuWaziri mkuu mh Kassim Majaliwa amewashukuru wabunge wa vyama rafiki Chadema, Cuf na ACT wazalendo kwa kumpigia kura za "ndio" kwenye ushindi wake wa 100% wa kumthibitisha kushika wadhifa huo.
Mh Majaliwa amesema maendeleo hayana chama hivyo atashirikiana na wabunge wote bila kujali itikadi katika kuwaletea maendeleo ya haraka wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Hahah mnamkataa Mbunge wenu tena? Yule ni Mbunge wa CHADEMA na yupo pale kaa ridhaa ya wananchi! Wabunge wengine akiongozwa na Mwenyekiti wenu Mbowe wameshindwa kutetea majimbo yao. Msimkatae mwenzenu kisa yuko peke yake. Ndo demokrasia hiyo vumilieni tu.