johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,884
- 141,815
Waziri Mkuu mh Kassim Majaliwa amewashukuru wabunge wa vyama rafiki Chadema, Cuf na ACT wazalendo kwa kumpigia kura za "ndio" kwenye ushindi wake wa 100% wa kumthibitisha kushika wadhifa huo.
Mh Majaliwa amesema maendeleo hayana chama hivyo atashirikiana na wabunge wote bila kujali itikadi katika kuwaletea maendeleo ya haraka wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Mh Majaliwa amesema maendeleo hayana chama hivyo atashirikiana na wabunge wote bila kujali itikadi katika kuwaletea maendeleo ya haraka wananchi.
Maendeleo hayana vyama!