Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kwa dhati kabisa napenda kuwapongeza Hawa viongozi wawili kwa utumishi wao uliotukuka.
Hawajawaangusha waliowateuwa waliowafanyia vetting na mwisho kabisa hawajawaangusha wananchi.
At least nyie mnatukosesha sababu ya kuwakosoa na kuikosoa serikali.
Kassim majaliwa anasimamia serikali vizuri sana na mama Samia anamsaidia rais Magufuli vizuri Sana japo rais anaonekana ni mtu mtata sana kufanya nae kazi.
Mungu awabariki kassim majaliwa na mama Samia suluhu.
Hawajawaangusha waliowateuwa waliowafanyia vetting na mwisho kabisa hawajawaangusha wananchi.
At least nyie mnatukosesha sababu ya kuwakosoa na kuikosoa serikali.
Kassim majaliwa anasimamia serikali vizuri sana na mama Samia anamsaidia rais Magufuli vizuri Sana japo rais anaonekana ni mtu mtata sana kufanya nae kazi.
Mungu awabariki kassim majaliwa na mama Samia suluhu.