Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,901 95,404 Jul 2, 2021 #21 Hawa mabaunsa ndiyo walikuwa wanatumika kulawiti pamoja na kubaka wananchi enzi za dikteta Kayafa.
S Samiaagain2025 JF-Expert Member Dec 2, 2020 2,926 3,054 Jul 3, 2021 #22 PM kama huyu ni mnafiki. Mbona alikuwa kimya enzi za bwana yule.
Nyanidume JF-Expert Member Oct 24, 2012 2,364 1,023 Jul 3, 2021 #23 peno hasegawa said: Mohamed Mchengerwa ni mkwe wa nani Click to expand... Sasha!