tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Mkuu na mtendaji wote wako barabarani wakitembea. Cha ajabu Viranja husika wamekaa wametulia, wamekuwa wapenzi watazamaji. Wapo kama hawapo. Na wakiwepo wanapokea amri na maelekezo hadharani.
Hii inaonesha muunganiko wa ndani wa kiuongozi na kiutendaji una kasoro. Japo tunaaminishwa ni kuwafikia watawaliwa, lakini kelele majukwaani zinaonesha mkwamo.
Hii inaonesha muunganiko wa ndani wa kiuongozi na kiutendaji una kasoro. Japo tunaaminishwa ni kuwafikia watawaliwa, lakini kelele majukwaani zinaonesha mkwamo.