BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,002
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.
Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.
Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.
Msahau
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.
Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.
Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.
Msahau