Kasongo acha vitisho, Yanga hatujui kudanganya msimamo hatuchezi na Simba

Tutolewe na Biashara hahahs
Kwani ulijua kama coastal union atakubatua sikuile? Tena wanakati ambao mlikuwa na kauli mbiu ya kumaliza ligi bila kupoteza mchezo?

Yani mtakapopigwa au kudroo game hata moja ndo mtakapojua, maana nina uhakika Simba Sc atacheza na Azam FC akiwa na ubingwa mkononi, kwahiyo msishangae sikuhiyo Simba Sc akapigwa (kuwapa Azam pt 3)
 
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.

Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.

Haramu huliwa na haramu

Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.

Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.

Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.

Msahau
Uongozi wa Yanga umeshamruka huyo kilaza Bumbuli
IMG-20210603-WA0004.jpg
 
Kama hamuwezi kucheza mpira kuna mambo mengine ya kufanya mfano kilimo cha matikiti maji
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.

Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.

Haramu huliwa na haramu

Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.

Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.

Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.

Msahau
 
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.

Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.

Haramu huliwa na haramu

Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.

Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.

Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.

Msahau
Utajibeba. Wenye ligi yao no tff ukae ukijua
 
Kweli kweli jamani ishi uone mengi imefikia kweli yanga kuwaogopa simba kwa namna hiyo.Hii ni kumbukumbu mbaya sana kupata kutokea ktk historia ya mpira Tz.Kuna misimu yanga waliwahi kuwa dhaifu kwa simba lkn hawakukubali kukimbia kizembe hv.Walipambana na wakati fulani wakashangaza.Leo hii wanatoa visingizio ambavyo hata kichaa anaona dhahiri ni woga wa kudhalilishwa.Hili ni doa mmeliweka .
 
Back
Top Bottom