Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,445
Kwa hiyo mkahudhuria kikao cha Waziri kupanga upya tarehe ya mechi nyingine wakati imeshachezwa?Haiwezi tokea, mechi ilichezwa trh 8.
Kwa hiyo mkahudhuria kikao cha Waziri kupanga upya tarehe ya mechi nyingine wakati imeshachezwa?Haiwezi tokea, mechi ilichezwa trh 8.
Hahaha sawa mkuu.Nakuja LEOO mkuu hizi international gm Kama covid 21 awachelewi kukusomea ALBADILI mtu ashastake wyf
Kwani ulijua kama coastal union atakubatua sikuile? Tena wanakati ambao mlikuwa na kauli mbiu ya kumaliza ligi bila kupoteza mchezo?Tutolewe na Biashara hahahs
Uongozi wa Yanga umeshamruka huyo kilaza BumbuliNianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.
Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.
Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.
Msahau
Nianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.
Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.
Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.
Msahau
Utajibeba. Wenye ligi yao no tff ukae ukijuaNianze kwa kumpongeza Kaka Bumbuli.
Nimeona sehemu Mwenyekiti wa Bodi anatishia viongozi wafuate kanuni.
Haramu huliwa na haramu
Mmeacha kufuata kanuni kama BODI nani mtamwongoza acheni VITISHO nawambia wana Yanga msinunue tiketi za Mechi Yanga walishamalizana na Simba mkinunua yanawatokea yaliyotokea huku jamaa wakijinufaisha na tiketi ZENU.
Naheshimu msimamo wa Yanga, nyuma Mwiko mbele daima.
Kama yanga WALIOONDOKA kikaoni na MSIMAMO huo ulitaka wawadanganye wananchi mle pesa zetu tena.
Msahau
Yanga iogope timu ambayo haiiwezi Prisons? shida yetu ni kanuni tu zifuatwe.Cha msingi Yanga wanaogopa kipigo Cha mbwa koko, mengine mbwembwe
Haiwezi tokea, mechi ilichezwa trh 8.
Kama hamuwezi kucheza mpira kuna mambo mengine ya kufanya mfano kilimo cha matikiti maji
Labda tuchrze na simba queen
Yanga iogope timu ambayo haiiwezi Prisons? shida yetu ni kanuni tu zifuatwe.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hongereni utopolo kwa kuchukua ubingwa wa kuifunga Prison. Utopolo ni utopolo tu.Yanga iogope timu ambayo haiiwezi Prisons? shida yetu ni kanuni tu zifuatwe.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Sheria ni kisingizio tu, sababu hasa ni kukimbia kichapo cha mbwa mwizi!! Nina uhakika yanga watakuwa radhi kufungwa na biashara kwenye kombe la FA ili mradi tu asikutane na simba!Yanga nawaaminia kwa kufuata sheria.