Lkn tuwe realistic kama GT..hivi kwa facult ambayo mtu huchukua kusomea..level ya juu kabisa ni ipi?
Watu wanafanya hiyo kama kete ya kukataa ukweli kuwa jamaa yuko vizur..kwa woote walotangaza ndani ya ccm huyu profesa yuko vizur.anasema anachokijua na anaongea vitu kwa facts..shida wengi tumezoea kupakwa mafuta ya kisiasa na kupayuka maneno mengi ndo mtu aonekane anafaa..ingekuwa maamuz yngu ni ya wote huyu muhongo anafaa sana kuwa rais..bas tu pesa na rushwa ndo zitatawala mwishowe atapigwa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.