johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,796
- 141,694
Zanzibar imetiliana saini na serikali ya Oman katika ujenzi wa bandari kubwa na ya kisasa zaidi Afrika ya mashariki.
Bandari hiyo mpya itakuwa na gati nyingi zikiwemo za container, mafuta, gesi, uvuvi, utalii wa bahari nk.
Utiaji sainu mkataba wa ujenzi bandari hiyo ya kipekee Afrika ya Mashariki umeshuhudiwa na viongozi wote wakuu wa serikali wakiongonzwa na Rais Mwinyi na makamu wake Maalim Seif.
Nimuombe Mbowe wa Tanganyika akajifunze kwa Maalim Seif.
Maendeleo hayana vyama!
Bandari hiyo mpya itakuwa na gati nyingi zikiwemo za container, mafuta, gesi, uvuvi, utalii wa bahari nk.
Utiaji sainu mkataba wa ujenzi bandari hiyo ya kipekee Afrika ya Mashariki umeshuhudiwa na viongozi wote wakuu wa serikali wakiongonzwa na Rais Mwinyi na makamu wake Maalim Seif.
Nimuombe Mbowe wa Tanganyika akajifunze kwa Maalim Seif.
Maendeleo hayana vyama!