Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,087
- 6,568
Wakati wa hayati JPM waziri mkuu Majaliwa alikuwa akifanya ziara mahala watu uharo unawatoka.
Alikuwa akitoa matamko kila mtumishi wa umma anatapika nyongo.
Kwa ufupi naona kama alikuwa ameendana na kasi ya mwendazake. Ndio maana ilikuwa ukisikia rais yupo mahala fulani moto unawaka huku waziri mkuu akikolozea moto. Kwa ujumla waliweka mambo sawa, kuanzia tumbuatumbua, dhibiti rushwa na hata dhibiti uzembe.
Nini kimemsibu sasa hivi mpaka amepunguza kasi aliyokuwa nayo?
Alikuwa akitoa matamko kila mtumishi wa umma anatapika nyongo.
Kwa ufupi naona kama alikuwa ameendana na kasi ya mwendazake. Ndio maana ilikuwa ukisikia rais yupo mahala fulani moto unawaka huku waziri mkuu akikolozea moto. Kwa ujumla waliweka mambo sawa, kuanzia tumbuatumbua, dhibiti rushwa na hata dhibiti uzembe.
Nini kimemsibu sasa hivi mpaka amepunguza kasi aliyokuwa nayo?