Kwa kweli inasikitisha sana kuona fedha ya Tanzania ikishuka kwa kasi dhidi ya dollar za Kimarekani. Juzi kwa ubadilishaji wa fedha ya Kitanzania dhidi ya dollar (BOT) ilikuwa $1=2245 lakini leo ni $1=2299.45. Hivi kweli nchi hii tunaelekea wapi.
Kila kukicha bei ya bidhaa zinapanda sababu ya dollar. Tunao Wachumi tena Maprofessa. kwa nini wasiishauri Serikali hatua za kuchukua.
Kwa kweli hali hii siyo nzuri kwa nchi hata kidogo.
Kila kukicha bei ya bidhaa zinapanda sababu ya dollar. Tunao Wachumi tena Maprofessa. kwa nini wasiishauri Serikali hatua za kuchukua.
Kwa kweli hali hii siyo nzuri kwa nchi hata kidogo.