johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,746
- 139,528
Waislamu kwa umoja wao wamesema wanaridhishwa na kasi ya maendeleo inayoongozwa na Rais Magufuli.
Viongozi wa bakwata wamesema serikali ya awamu ya tano imefanya mambo makubwa ambayo hayajawahi kuonekana huko miaka ya nyuma
Hayo yamesemwa katika baraza la Eid el hajj huko Chanika nje kidogo ya jiji la Dsm.
Pia dua maalum ya kumuombea Rais Magufuli ilisomwa na sheikh kiongozi
Source channel ten
Viongozi wa bakwata wamesema serikali ya awamu ya tano imefanya mambo makubwa ambayo hayajawahi kuonekana huko miaka ya nyuma
Hayo yamesemwa katika baraza la Eid el hajj huko Chanika nje kidogo ya jiji la Dsm.
Pia dua maalum ya kumuombea Rais Magufuli ilisomwa na sheikh kiongozi
Source channel ten