Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Wakati Slaa ambaye aliongozana na viongozi wengine waandamizi kutoka vyama vinavyounda UKAWA wakijaribu kuwaeleza wananchi wa Geita na vitongoji vyake kama vile Katoro, juu hasa ya kwanini walisusia bunge la katiba na kusudi lao nini na wanataka waungwe mkono na wananchi kwa lipi.
Kashifa nzito imeikumba ziara hiyo, habari kutoka kwa msiri we aliyekuwa akifuatilia kwa karibu na kurekodi mazungumzo na video kuanzia Vikao vya Katoro hadi Hotel aliyofikia Slaa ambayo tunaihifadhi kwa haki za kibiashara.
Mwanahabari wetu huyo kutoka kwe ye mji wa dhahabu, aligundua kashifa nzito dhidi ya Slaa , kwamba Slaa alipewa Bonge la Tofali la Dhahabu lenye thamani ya mabilioni ya fedha za kitanzania ili limsaidie katika kampeni mwaka 2015.
Taarifa hiyo inabainisha kuwa alipewa hilo bonge la tofali na mfanyakazi mmoja wa hiyo kampuni tani ya kuzalisha dhahabu maalufu kwa jina la GGM, mtu huyu inasadikiwa kuwa naye anacheo sawa na cha Slaa isipokuwa huyu ni wa Mkoa kama si wilaya.
Baada ya viongozi wengine wandamizi kuona mwenzao amepewa bonge la tofali hilo walitaka kujua kwa upande wao itakuwaje? Hapo ndipo zogo kubwa lilianza , Slaa taarifa za mfukunyungu wetu zinahitimisha kuwa Slaa alipobanwa vyema na viongozi wenzake hususan NCCR alikubali kuwa baada ya kuliweka sokoni tofali hilo ,basi wataweka mgao sawa.
Hata hivyo dhamila yake ya kuwa mgombea Urais 2015 aliirudia kuwa ibaki pale pale.
Baada ya kuipata hii tumeona ni vyema wana JF muipate juu ya uadilifu wa viongozi wetu wa kisiasa.
Kashifa nzito imeikumba ziara hiyo, habari kutoka kwa msiri we aliyekuwa akifuatilia kwa karibu na kurekodi mazungumzo na video kuanzia Vikao vya Katoro hadi Hotel aliyofikia Slaa ambayo tunaihifadhi kwa haki za kibiashara.
Mwanahabari wetu huyo kutoka kwe ye mji wa dhahabu, aligundua kashifa nzito dhidi ya Slaa , kwamba Slaa alipewa Bonge la Tofali la Dhahabu lenye thamani ya mabilioni ya fedha za kitanzania ili limsaidie katika kampeni mwaka 2015.
Taarifa hiyo inabainisha kuwa alipewa hilo bonge la tofali na mfanyakazi mmoja wa hiyo kampuni tani ya kuzalisha dhahabu maalufu kwa jina la GGM, mtu huyu inasadikiwa kuwa naye anacheo sawa na cha Slaa isipokuwa huyu ni wa Mkoa kama si wilaya.
Baada ya viongozi wengine wandamizi kuona mwenzao amepewa bonge la tofali hilo walitaka kujua kwa upande wao itakuwaje? Hapo ndipo zogo kubwa lilianza , Slaa taarifa za mfukunyungu wetu zinahitimisha kuwa Slaa alipobanwa vyema na viongozi wenzake hususan NCCR alikubali kuwa baada ya kuliweka sokoni tofali hilo ,basi wataweka mgao sawa.
Hata hivyo dhamila yake ya kuwa mgombea Urais 2015 aliirudia kuwa ibaki pale pale.
Baada ya kuipata hii tumeona ni vyema wana JF muipate juu ya uadilifu wa viongozi wetu wa kisiasa.