Kashfa zinazomkabili Mhe. Aeshi Mbunge wa CCM Sumbawanga Mjini

KING COBRA

JF-Expert Member
Nov 10, 2011
2,782
864
Kashfa hizi ziliwakilishwa na wajumbe wa CCM Sumbuwanga

Kashfa zinazomkabili:

Ukwepaji wa kodi

Aeshi ni mfanyabiashara anayemiliki kampuni kadhaa ikiwemo Northmead Tanzania Ltd, anadaiwa amekuwa kukwepa kulipa kodi ya mapato ambapo hadi kufikia Septemba 7, 2009 alikuwa anadaiwa kiasi shilingi 371,689,616 kama kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Nyaraka ambazo zinadaiwa kupatikana zinaelezwa kuwa ni:

Tax Invoices za kati ya nambari 1 hadi 50 zilizoandikwa kati ya tarehe 04/09/2007 hadi 05/03/2008.
Tax Invoices za kati ya nambari 0001 hadi 00050 ambazo ziliandikwa kati ya tarehe 26/03/2008 hadi 21/10/2008.
Tax Invoices za kati ya nambari 0051 hadi 0100 ambazo ziliandikwa kati ya tarehe 26/03/2008 hadi 07/09/2009.

Matokeo ya uchunguzi wa nyaraka hizo uliofanywa na wananchi wazalendo yalionyesha kampuni hiyo ilitoa huduma yenye VAT ya thamani ifuatayo:

Mwaka 2007 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 224,532,000
Mwaka 2008 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 1,046,670,800
Mwaka 2009 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 342,203,000
Mwaka 2009 - kwa NFRA Rukwa (SGR) Shs. 245,042,278

JUMLA Shs. 1,858,448,078 20% VAT Shs. 371,689,616 NB: Kima cha VAT kilibadilika kutoka 20% kuwa 18% Julai 2008 lakini madai hayakuzingatia mabadiliko hayo. Inaelezwa kwamba, nyaraka (Returns) a VAT za kila mwezi hazina uwiano wowote na taarifa hiyo na malipo yaliyofanywa na kampuni hiyo, pia hakuna nyaraka zozote zinazoonyesha kama VAT ililipwa kutokana na huduma ya usafirishaji; hakuna nyaraka zinazoonyesha VAT iliyolipwa kutokana na mauzo ya sukari kutoka Zambia ambayo ni moja ya biashara kubwa snaa za kampuni hiyo ambayo inatuhumiwa pia kuingiza sukari hiyo kwa magendo. Taarifa zote hizo kwa nyakati tofauti zimewahi kuwasilishwa na wananchi wazalendo katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Ofisi ya Rais, Ofisi ya Waziri Mkuu, TRA Makao Makuu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na CCM Mkoa lakini hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya Aeshi.

Wazee wa CCM walioasi Chama wamesema hawana imani na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Mkoa kwa sababu wameshindwa kumchukulia hatua Aeshi pomoja na wao kutoa ushahidi mzito wa vielelezo. Wamebainisha kuwa Ofisa Usalama wa Mkoa, Morabu (0784-408838, 0756-804868) ambaye wamesema kwamba ameacha kazi yake na kujiingiza na biashara ambapo yeye, Aeshi na Meneja wa TRA Mkoa wa Rukwa Mkandara, wamekuwa kundi moja wakimshirikisha meneja wa Mbeya Cement. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 67(2), Aeshi – pamoja na kuwa hajawahi kuhukumiwa – lakini amekuwa mkwepaji wa kodi na hivyo anakosa sifa za kuwania uongozi wa umma.

Kumpa mimba mwanafunzi na kumkana
Kashfa nyingine inayomkabili mgombea huyo wa CCM ni kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari St. Mary's mkoani Mbeya aitwaye Mary Joachim Louis (0764-501714) na kumtelekeza. Mary tayari ana mtoto wa kiume aliyepewa jina la Lenge Aeshi mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu aliyezaliwa katika Hospitali ya Kristo Mfalme mjini Sumbawanga Machi 7, 2009. Lenge ni jina la babu yake Mary aliyemzaa mama yake. Vyanzo vya habari vinasema, tangu alipompa ujauzito binti huyo na kumkana, amekuja kumkubali mtoto wake wakati amekwishatimiza mwaka mmoja, na hajawahi kutoa fedha yoyote ya matunzo kwa mtoto hata pale anapoambiwa kwamba anaumwa.

Majirani wanasema yawezekana alimkubali baada ya kuona mtoto huyo amezaliwa akiwa anafanana naye kwa sura na rangi. Angekuwa na rangi ya Kibantu sidhani kama angeweza kumkubali. Binti huyo ambaye ameshindwa kuendelea na sekondari baada ya uongozi wa shule hiyo kukataa katakata maombi ya baba mzazi wa binti huyo kwamba aendelee na masomo baada ya kujifungua. Aeshi anadaiwa kutumia fedha kumlazimisha baba wa binti huyo asipeleke suala hilo kwenye vyombo vya sheria huku viongozi wa CCM wilayani Sumbawanga – Charles Victor Kambanga (0754-553130) na Enos Budodi (0757-885727), na Katibu wa CCM wa Mkoa Fraten Kiwango (0784-665926/0754-665926) wakitumika kwenda kumshawishi Mzee Joachim Louis (0784-666500/0755-666500) kutofungua kesi kwa maelezo kwamba kufanya hivyo kutaifanya CCM ipoteze jimbo hilo.

Alhamisi tarehe 23/09/2010 majira ya asubuhi mkuu wa shule ya sekondari St. Mary's aliyokuwa akisoma binti huyo Gervace Hussia (0755-910494) raia wa Kenya alimpigia simu baba mzazi wa binti huyo na kumhoji kuhusu hatua alizochukua baada ya bintiye kupata ujauzito. Mzee Louis alimweleza mkuu wa shule kwamba binti yake alipewa mimba na Aeshi ambaye hataki kuishi na bintiye, lakini alikuwa anahitaji bintiye arudi shule kuendelea na masomo, ombi ambalo mkuu wa shule alimshauri atafute shule nyingine ili kumwepusha bintiye na athari za kisaikolojia.

Nilifanya mahojiano na Mzee Louis ambaye alisema kwamba kwa muda mrefu Aeshi hajaonyesha ushirikiano wowote katika suala la ujauzito wa bintiye na hata baada ya kujifungua kwani ni mtu aliyejaa kiburi, jeuri na mwenye majivuno. Anasema uongozi wa CCM umefuata mara kadhaa ofisini kwake na hata nyumbani kumsihi asimshtaki mteule huyo wa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni kuwapa nguvu wapinzani washinde. "Sijui hata nifanyeje kwa sasa. Ndugu zangu wamekuwa wakiniuliza mara kwa mara ninachukua hatua gani, lakini sijaweza kujua nifanye nini. Walikuja nyumbani nikawaeleza kwamba mimi ninachotaka ni kuona binti yangu anaendelea na masomo, lakini mara tu walipoondoka nikasikia mitaani habari zimeenea kwamba eti amenipa shilingi milioni tano kuniziba mdomo na kwa hivyo wale wote waliokuwa wakipiga kelele kwamba atashtakiwa walie tu. Jamani, naapa kwa jina la Mungu kwamba sijapokea hata senti tano yake na sitaweza kupokea.

Siwezi kuwa mtumwa wa huyu bwana hata siku moja. Ni vyema hata angejitokeza kumlea mwanawe huyu name niangalie mustakabali wa maisha ya binti yangu," alisema kwa uchungu. Akaongeza: "Mwanangu hajapata kusoma hata shule za umma kuanzia alivyoanza shule ya awali mpaka sekondari. Mama yake alimwacha mdogo sana, nilikuwa nasafiri naye hata maporini kwenye shughuli zangu za ukandarasi, baadaye nikaamua kumpeleka shule ya bweni huko Arusha. Yote hii nilitaka kumwekea msingi mzuri wa maisha yake, lakini leo hii ndoto zote zimetoweka. Nikifikiria gharama nilizotumia na namna binti yangu alivyokatishwa safari yake naumia mno."

Nilifanya pia mahojiano na Bi. Mary, ambaye alikuwa na haya ya kueleza: "Nilizaliwa Mei 15, 1991 nikiwa mtoto wa sita. Ndugu zangu wengine ni Pendo, Peter, Lina, Neema, Godfrey (marehemu) na William ambaye anamaliza mwaka huu kidato cha nne katika shule ya sekondari St. Mary's. Tulikuwa tunasoma wote kule.

"Nilianza kusoma shule ya awali ya Rukwa Nursery (sasa Rukwa High School) mwaka 1998, mwaka 1999 nikaanza Grade One Southern Highland Iringa ambako nilisoma hadi Grade Three. Mwaka 2002 baba akanitafutia shule huko Meru Peak International nilikosoma Grade Four hadi Five, kabla ya kuhamia Happy Skillful mwaka 2004. Mwaka 2006 nilijiunga na St. Mary's Mbezi Sekondari Dar es Salaam, lakini mwaka 2007 nikahamia St. Mary's Mbeya kabla ya kukutana na balaa hili, sijui kama ni la kujitakia ama la kushawishiwa. "Baada ya mama kufariki, baba alikuwa na kawaida ya kunibeba kwenye gari na kusafiri naye site ama mitaani. Mara nyingi hata alipokutana na rafiki na jamaa zake mimi nilikuwa kwenye gari. Ni katika mizunguko hiyo ndipo nikakutana na Aeshi. Aliniona nikiwa na baba kwa sababu yeye na baba walikuwa wanafahamiana. Baba alikuwa anamuuzia magari. Mara ya kwanza alimuuzia gari aina ya Nissan Safari na mara ya pili pia.

Nakumbuka wakati nikiwa Grade Six mwaka 2004 (alikuwa na miaka 13) baada ya kuwa amefanya biashara ya gari na baba Aeshi alikuja nyumbani na kujifanya alikuwa anafuata kadi ya gari. Ni hapo ndipo alipoanza kunitongoza. Nilimshangaa kwa sababu kwanza nilikuwa mdogo nisiyejua chochote kuhusu mapenzi, halafu nilimheshimu kama kaka. "Tangu wakati huo akaanza kunisumbua, nikienda mjini akiniona tu, ninaye, baba akisafiri anakuja nyumbani kujifanya anauliza hiki au kile. Akanirubuni na kuniahidi mambo mengi, huku akinipatia fedha na zawadi ndogo ndogo. Kwa ufupi sikuwa na shida ya fedha kwa sababu baba alinipatia mahitaji yote muhimu. Ahadi na ushawishi wake ndivyo vilivyonihadaa, ingawa niliendelea kuwa na msimamo kwamba mimi mdogo. Aliniahidi kwamba angenisubiri nimalize shule.

"Uhusiano huu ulishtukiwa na kaka yangu Godfrey, ambaye mara kadhaa alikuwa akinipiga na kunionya niachane na Aeshi, lakini sikumsikiliza. Hatimaye mwaka 2008, nakumbuka ilikuwa Aprili, wakati nilipofikia hatua ya kuvua nguo na kulala na Aeshi katika hoteli moja eneo la Kzwite, siikumbuki hata jina. Hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza. Mara ya pili ilikuwa mwezi Juni wakati nikiwa likizo pia. Nadhani safari hiyo ndipo nilipopata ujauzito.

"Nilirudi shule nikaendelea na masomo, lakini ukapita mwezi wa kwanza, wa pili, sikuona siku zangu. Niliporudi likizo mwezi Septemba nikamweleza kwa siri dada yangu Lina na kwa vile alikuwa anauelewa uhusiano wangu na Aeshi, akanishauri twende tukamweleze hali halisi ilivyo. Nilipomweleza tu akabadilika ghafla na kusema kwamba hahusiki. Kwanza Aeshi alikuwa amefikia uamuzi wa kuitoa mimba na akamuulizia daktari mmoja gharama akaambiwa ni shilingi laki mbili (200,000). Lakini akanipa 50,000 na kusema hana hela. Akaniambia: "Killing a baby is a sin. Fanya lolote urudi shule, ila mimi sihusiki na wala usinijue." Tangu siku hiyo sikumuona tena wala kuwasiliana naye.

"Siku moja kabla hatujaondoka na mdogo wangu kurudi shule, mama (mke wa sasa wa baba yake) alinishtukia na ikanibidi tu nimweleze ukweli halisi, maana yeye ni zaidi ya rafiki. Baada ya kumweleza akamwomba baba waende dukani, ambapo huko akamweleza tatizo lililokuwa limenipata. Baba akasema hakuna jinsi nirudi tu shule na lolote litakalotokea itajulikana baadaye. Kwa kweli baba alikuwa amemchanganyikiwa. Baada ya hapo ndipo hata majirani na rafiki zangu walipoanza kunieleza uchafu mwingi aliokuwa akiufanya Aeshi, kwamba alikuwa na wasichana wengi wakiwemo wanafunzi, na mtindo wake ulikuwa ni kulala nao na kuwaacha, hakuwa na msichana mmoja tu. Kaka yangu akanikumbusha jinsi alivyokuwa akinionya lakini sikumsikia. Huko aliko naomba Mungu amrehemu na anisamehe kwa sababu ya upumbavu wangu.

"Bahati nzuri nilifanikiwa kumaliza mtihani wa mwisho na tukafunga shule. Mimba ilikuwa haionekani, vinginevyo ningeweza kufukuzwa shule. Niliporudi tayari mimba ilikuwa na zaidi ya miezi sita, hivyo wakati wenzangu wanarudi shule Januari 2009 mimi nikashindwa. Mungu akasaidia nikajifungua Machi 7, 2009. Aeshi hakuwahi kuja wala kuwa na mawasiliano na mimi, jambo huko mitaani nilikuwa nikimuona na yeye alikuwa ananiona. Amekuja kumkubali mtoto baada ya kutimiza mwaka mmoja mwaka huu 2010, lakini hata pale nilipojaribu kumweleza kwamba nahitaji fedha ya matumizi ya mtoto wakati anaumwa na baba yuko safari, alinijibu kwa kifupi tu "Sina hela, baba yako si ana hela!"

Nakumbuka siku moja wakati mtoto alipokuwa anaumwa, tulikuwa na dada yangu tunampeleka hospitali tukamkuta akiwa na jamaa zake njiani. Dada alimfuata baada ya kuitwa na kumweleza kwamba tulikuwa tunampeleka mtoto hospitali anaumwa na baba yuko safarini. Akaingiza mkono mfukoni na kutoa shilingi elfu kumi. Hiyo ndiyo pesa ninayoijua ya Aeshi. "Najua watu wanataka Aeshi ashtakiwe, lakini najua atafungwa kwa sababu ya kosa hili. Lakini naogopa kwamba mwanangu atamkosa baba. Mwenyewe nataka kurudi shule, baba ananitafutia. Nikirudi shule sitafanya upuuzi kama huu," anasema kwa uchungu na kukiri kwamba Aeshi ana kiburi na dharau.

Inavyoonekana, familia ya Aeshi Khalfan Hilaly imetandwa na tabia mbaya ya ubakaji wa wanafunzi, kwani wadogo zake wawili: Babu Eddy na Said Hilaly wote wana kesi mahakamani za kuwatorosha wanafunzi wa sekondari na Aeshi mwenyewe amekuwa akibariki vitendo hivyo kwa vile ni mshirika kiasi cha kutamba hata mbele ya wazazi wa mmojawapo wa binti hao kwamba wao wanajishughulisha na Malaya, kauli ambazo ni za dharau na matusi mazito kwa wazazi wa binti husika. Pia alifikia hatua ya kutamba kwamba, wakitaka waende polisi kuwashtaki hao wadogo zake, lakini yeye atakwenda mara moja kuwatoa, hata ikibidi atumie mamilioni ya fedha hajali, watatoka tu.

Wazazi wa Aeshi nao wanaonekana kuwa na tabia chafu na kuwaunga mkono watoto wao kwa vitendo viovu wanavyovifanya, kwani waliwahi kuwatukana wazazi wa mmojawapo wa binti aliyetoroshwa na kijana wao na hata walipokwenda kwenye Serikali za Mitaa, baba mzazi wa Aeshi, Mzee Khalfan Hilaly Amour, alifikia hatua ya kumtukana mmoja wa wazazi hao kwamba ni Kafiri, ------, na Maskini ambaye hamwezi kwa lolote hata kwa uchawi.

- Babu Eddy alimteka binti na kukamatwa, kesi ilipofika mahakamani yeye akatoroka na sasa anaishi Muscat, Oman, wakati ambapo Said yeye yupo mjini Sumbawanga na kesi bado inaendelea.

- Said Hilaly ambaye ni mdogo wake Aeshi anayemfuata, alimtorosha binti aitwaye Sabina Gitson (17) anayesoma kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Chemchem, Sumbawanga mjini tarehe 12/02/2010 na kumpeleka Mbeya. Mjomba wa binti huyo aitwaye Ernest Simya (0754-229781) aliwasiliana na Aeshi na kumweleza suala hilo, lakini Aeshi alimtukana kwamba asimweleze habari za kipumbavu na kwamba wao (akina Aeshi wana-deal na malaya tu).

Yafuatayo ndiyo maelezo ya mjomba wa binti huyo kama alivyoyaandika mwenyewe kwangu:
"Mtoto wangu Sabina Gitson alitoroshwa tarehe 12.2 2010 saa kumi na mbili asubuhi akiwa na bibi yake nyumbani kwa kwetu mana alikua analala na bibi yake katika chumba kimoja bibi yake aligundua kama mjukuu wake hayupo majira ya saa mbili asubuhi na ndipo aliponijulisha kuwa mjukuu wake aliamka usiku na kuomba ufunguo wa mlango mkubwa wa uani kwa madai ya kutaka kwenda kufanya usafi bibi yake alimwambia kuwa bado ni usiku na hakumpa funguo badala yake zilisikika sauti za honi ya gari majira ya saa kumi na mbili kasoro na mtoto aliomba tena funguo na kudai kuwa anataka kuwahi kufanya usafi ili awahi shulen bibi yake alimruhusu na ndipo alipotoweka.

- Mimi nilifika nyumbani kwa mama majira ya saa mbili kutokea nyumbani kwangu majengo na ndipo mama yangu aitwae Honorata Mpepo aliponambia kuwa mtoto hayupo nyumbani. Ukweli nilifika mbali kwani mtoto huyo ni yatima kwa maana mimi ni mjomba wake na mama yake mzazi Florida Kyambe alikwishafariki na baba yake Gitson anakaa na mke mwingine na mimi ndiyo nguzo kuu ya maisha yake binti huyu alizaliwa tarehe 12/12/1992, hivyo bado hajafikisha hata miaka 18! Mimi sikukata tamaa na nilimwomba Mungu anisaidie.

- Baada ya kwa muda wa siku mbili nipata tarifa toka Mbeya kupitia kwa kijana mmoja anaitwa Salumu ambaye ni fundi wa sofa na huwa nafanya naye kazi maana kwa upande mwingine mimi ni fundi wa sofa na huwa namwita kijana huyo toka Mbeya kuja kunisaidia kazi. Hivyo alikuwa anamjua vizuri binti yangu na alipomwona eneo la benki ya Mwanjelwa, akamwuliza kuwa anafanya nini na yuko na nani pale Mbeya na ndipo binti alimjibu kuwa yuko na SAIDI HILALY ambaye ni mdogo wake na AESHI HILALY. Kijana huyo baada ya kusikia hayo alinipigia simu na kunifahamisha kama mtoto yuko Mbeya na kuniuliza kama najua taarifa hiyo na kama nimemruhusu kuacha masomo na kumwacha aende Mbeya.

- Ukweli niliumia na ndipo niliona kuwa pia yeye ana uchungu na nilimwagiza asimwambie kama mimi najua kama yuko Mbeya nilimwomba aache kazi zote na amfatilie kwa ukalibu ili ajue wapi alipofikia na alipomfatilia aligundua kuwa alifikia Songwe katika gesti moja iitwayo Sakina Guest House na ukweli alikuwa na Said Hilaly kama aliyomwambia mwanzo nilimwomba aendelee kunisaidia kwa siku hiyo kijana hakuchoka aliweza kumbana binti na ukweli alipoona muda umepita na hakuna dalili za mimi kujua na aliamini kuwa kijana huyo hajanambia kitu alimweleza kila kitu na kijana alipo nieleza nilimrusu aondoke ila ajue kesho yake wapi atakutana nae. -

Kesho yake binti yangu alimpigia simu Salumu na kumwomba kuwa SAIDI anaomba kuonana nae ili ampeleke sokoni mahali ambapo vitanda na magodoro yanapatikana kwa lengo la kumnunulia binti yangu na amtafutie chumba cha kupanga. Kijana alinieleza na nikamwambia afanye kama walivyomwagiza, alikutana nao na akawapeleka madukani lakini kinyume na magodoro na kitanda binti yangu alinunuliwa mawigi mawili na sketi moja na blausi moja na mhalifu huyo na kumwomba kijana Salumu abaki na binti kwani yeye anakwenda Sumbawanga kupeleka mzigo akirudi ndipo atatafuta chumba. Salumu aliniandikia sms na mimi nilimwambia kuwa asikubali na aondoke.

- Aliondoka kwa kuaga kuwa anamwona mtu ndani ya soko na anarudi mimi alinambia kuwa amekwisha toka maeneo yale, nilimwomba atoe tarifa kituo chochote cha polisi kilichoko karibu lakini alipojaribu kufanya hivyo tayari walikuwa wamekwisha ondoka na kumwacha binti yangu katika mazingira mabaya, yaani walimtelekeza. Niliposikia hivyo nilimpigia AESHI Hilaly simu na kumwomba amweleze ndugu yake kuwa asimwache binti yule kwani kila kitu kinajulikana na ndipo AESHI aliponijibu kuwa hana mpango na yuko bize na mambo yake, nikitaka nimpeleke polisi ndugu yake na yeye atakuja kumtoa hata kama watataka milioni tano.

- Sikuishia hapo, nilimpigia tena na kumwambia kuwa naomba unisaidie kwa kuwa wewe ni kiungo kikubwa katika familia na ndipo aliponambia kuwa yeye hajali Malaya na kazi yake ni kudili na Malaya kama mtoto wangu. Ukweli mimi nilisikia uchungu na kwa kuwa nilikuwa na baba mzazi wa mtoto tulijadiliana twende kwa wazazi wao. Tulikwenda mpaka kwao tukawakuta wazazi wao wote wawili, yaani baba yake na mama yake walitulipokea na tukawaeleza yote lakini tuliyoyatarajia ilikuwa kinyume sana kwani tulitukanwa pia na kufukuzwa.
- Baada ya hapo mimi niliona hakuna jinsi na niliamua kumpigia simu SAID mwenyewe na kumwagiza aniletee binti yangu kama alivyomchukua. Yeye alisema kuwa hataweza kumleta maana gari yake imeharibika ila atakuja na utingo wake kwa basi. Mimi nilimweleza kuwa nataka wewe ndio umlete na si mwingine, akanambia kuwa atanitarifu baadae ningoje afikirie.

- Nilimtafuta kijana wangu Salumu kwa ajili ya kumtahadhalisha kuwa asiende tena katika maeneo ya Songwe lakini sikumpata kumbe alikuwa amekwenda kuona kama mtoto yuko salama na ndipo SAID na wasaidizi wake wa gari walimshika Salum na kumwambia kuwa ametoa tarifa kwangu, sasa adhabu yake ni kifo tu. Kijana alijitahidi na aliwashinda nguvu na kukimbia. Alitoa taarifa kwetu mimi na baba mzazi wa binti na ndipo mimi niliamua kumfuata tena ndugu AESH kumweleza ila alinijibu kuwa atafuatilia kesho yake.

- Kinyume na kufuatilia kesho yake jioni majira ya saa kumi na moja jioni nilimwona binti yangu akiwa nyuma ya nyumba yetu. Nilimwita na nilipomwuliza alikuwa wapi alikiri kuwa alikuwa na SAID Mbeya na ameambiwa arudi nyumbani na Said. Nilimwambia kuwa nilisema yeye ndio akulete inakuwaje umekuja peke yako? Akasema kuwa MAMA YAKE NA SAID NDIO ALINAMBIA NIRUDI KUWA NITAKAA KWAO.
- Niliposikia hayo nilimwambia abebe mzigo na nilimpeleka mpaka kwa wazazi wa Saidi na kumwacha. Alikaa siku mbili, wakampeleka kwa mwenyekiti kwa lengo la mimi niitwe ili tuyaongee na kuyamaliza. Niliitika wito wa mwenyekiti ila tulipoanza kuongea BABA yao aliinuka na kuniita mimi (KAFIRI, ------, MASKINI) na simwezi kwa lolote hata kama pesa au UCHAWI maana mimi ni mtoto sana kwao na sijui nafanya nini na ndipo kikao kiliisha na mimi na baba mzazi wa mtoto tukaenda polisi na kufungua kesi.

- Kesi iliendeshwa chini ya upelelezi wa askari anayeitwa Egidius (CID) ambaye baadaye tuligundua kuwa yuko jirani na familia ya ndugu AESHI baada ya kumrubuni binti kuandika barua ya kufuta kesi mahakamani kwani yeye ndiye shahidi wa mwisho. Tuligundua hayo kupitia kwa askari wengine waaminifu na wanaochukia vitendo hivyo na wakatushauri kuomba kubadilishiwa CID wa kesi kwa sababu mwenzao si mwaminifu. Tulikubali ushauri wao na kweli tulibadilishiwa askari aitwae Innocent ambaye ukweli anatupa ushirikiano mzuri chini pia ya mahakimu mahiri na wapenda haki wa mahakama ya wilaya wa Sumbawanga Ndugu Matembere na wandesha mashtaka mahiri wasiopenda rushwa Ndugu Makene na Magai.

- Ilipofika tarehe 16.4.2010 nilimtuma tena binti yangu TANESCO kwenda kulipia bili ya umeme na aliporudi alionekana akiwa na vijana wawili wa Kiarabu wakiwa naye na walimwamuru aingie ndani na kutoka, kama sivyo maisha yake yatakuwa mikononi mwao. Mimi na bibi yake tulikuwa mbele ya nyumba ambako ndiko nafanyia shughuli zangu za sofa. Kwa bahati kulikuwa na watoto wadogo walioshuhudia yote yaliyokuwa yakitendeka kwa uani alikokuwa dada yao, walikimbia kuja kutoa taarifa lakini nilipofika nilikuta mwanangu keshaondoshwa pale uani. Nilijitahidi kumtafuta huku na huku bila mafanikio na nilirudi tena polisi na kufungua kesi nyingine.

- Ilipofika tarehe 25.8.2010 nilifanikiwa kumkamata binti yangu akiwa katika nyumba ya mama mmoja mganga wa kienyeji na mume wake ni fundi ujenzi alifahamika kwa jina la ADAMU MASOUD na nilimkamata na kumpeleka katika kituo cha polisi na tulimkamata mwanaume aliyekuwa amemhifadhi binti yangu. Tulipomhoji alikiri kuwa binti yangu alipelekwa kwake na MHESHIMIWA AESHI KWA MADAI KUWA MDOGO WAKE YUKO BIZE NA KAMPENI HIVYO WAMFICHE NA ATAMHUDUMIA YEYE. Lakini tulipofika mahakamani kijana huyo alikataa maelezo yake na picha iliyotokea ni kuwa na wimbi kubwa la makada wa Chama cha Mapinduzi Bwana Msimbazi na Enos Budodi (0757-885727), waliojitahidi kumdhamini bila mafanikio. Alirudishwa mahabusu mpaka alipokuja kudhaminiwa tarehe nyingine ya kesi ambapo pia kulikuwa na wimbi kubwa la makada hao.

- Namaliza kwa kusema kuwa kesi ya mwanzo inayo mhusu SAIDI HILALY itatajwa tena tarehe 23.10.2010 na kesi inayomhusu ndugu ADAMU MASOUD itatajwa tena 25.10.2010 zote binti anatakiwa kutoa ushaidi wake naomba ushirikiano wako pale ambapo hutanielewa. - NB: Mtoto wangu anasoma kidato cha tatu katika shule ya sekondari Chemchem lakini kwa mwaka huu hakuweza kusoma kutokana na matatizo hayo mpaka hapo mwakani atakaporudia tena kidato cha tatu, hivi sasa anaendelea na kozi ndogo ya kopyuta." NB: Ikiwa katika kipindi hiki tu hajawa ‘mtu yeyote' ana dharau namna hiyo na hataki kuonyesha ushirikiano, watu wanauliza, je, atakapopata huo ubunge anaouwania na kuwa ‘mheshimiwa' si ndiyo atafunga na vioo kabisa na kutojishughulisha na lolote kuhusu binti na mwanawe? Kama katika kipindi hiki tu anafanya mambo ya ajabu na kutumia ubabe katika jamii, akishapata kinga ya Bunge, si atafanya maovu mengi?

Kumteka na kumlawiti Mhindi
Lakini kashfa kubwa zaidi ni ile ya kumteka, kumtishia kwa bastola na kumlawiti mfanyabiashara Mhindi Rahim (0784-644303) Novemba 12, 2008 kwa maelezo kwamba alikuwa anamshukia kuwa na uhisiano wa kimapenzi na mkewe aitwaye Raya Humud Salehe. Habari za uchunguzi kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mkoani hapa zinaeleza kuwa 12/11/2008 Aeshi alimtuma Emmanuel Nkembo (0752 005040) – fundi pikipiki Opposite Jengo la Benki ya NBC – kwenda kumlubuni Rahim na kumpeleka nyumbani kwa Aeshi kwenye nyumba Block N eneo la Jangwani. Emmanuel Nkembo alikuwa rafiki wa Rahim kwa muda mrefu. Nkembo alifanikisha mpango huo na kumpeleka Rahim nyumbani kwa Aeshi na walipofika walikuta watu zaidi ya sita Waswahili na wengine wenye asili ya Kiasia ambao inadaiwa walikodiwa na Aeshi kutoka Mbeya maalum kwa ajili ya kazi hiyo.

Pia alikuwepo kijana wa Kiarabu, Issa Salehe, anayedaiwa kuwa shemeji wa Aeshi. Aeshi alichomoa bastola yake na kumweka Rahim chini ya ulinzi na kumlazimizimisha avue nguo na amgeuzie ------ tayari kwa kulawitiwa. Rahim alileta mgomo, lakini Aeshi alifyatua risasi moja chini ya ardhi kumtishia na kumnyang'anya Rahim bastola aliyokuwa nayo huku watu wengine wakimpiga na kitu kilichomjeruhi na kumfanya avuje damu nyingi. Aeshi ndiye anayedaiwa kuanza kumlawiti Rahim huku wengine wakisubiri kwa zamu na wakati wote picha zinachukuliwa kwa kutumia simu ya mkononi. Rahim alizidiwa na kutaka kuleta matata lakini Aeshi alimpiga kibao na damu ikaanza kumwagika.

Baada ya kumaliza kumlawiti kwa zamu, walimwachia na kumtishia kuwa hata akienda kituo cha polisi hatafanikiwa! Aeshi na wenzake walikwenda kusherehekea ‘ushindi wa tukio hilo' kwenye ukumbi wa Ufipa Lodged ambapo alianza kuwatumia picha hizo jamaa zake huku akijivuna kwamba amemkomesha. Nakala za picha hizo zilitumwa pia kwa mkewe Rahim. Rahim alipata fedheha kubwa na kwenda kufungua kesi polisi na kupewa Jalada la upelelezi lakini Aeshi aliposikia alikwenda kuhonga vyombo vya usalama na kuhujumu upelezi wa kesi. Mpaka sasa jalada la kesi hiyo halionekani ingawa taarifa zinasema kesi hiyo ilikuwa katika hatua ya upelelezi.

Masheikh na Waislamu wa Sumbawanga wanasema kwamba, taarifa hizi walizipata mapema na kulaani kitendo hicho. Wazee wa Kiislamu walitumwa kwa Aeshi (ambaye inadaiwa hana kawaida ya kuswali) na kwenda kumshauri kwamba anatakiwa akatubu msikitini kwa kufanya dhambi kubwa kama hiyo, lakini mpaka siku ya leo hajaenda kutubu, hali ambayo imewafanya Waislamu waendelee kumchukia kwa kuitia doa dini yao. Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa (RCO) wa zamani SSP E. Bukombe (0784-458937), na Kamanda wa zamani wa Polisi wa Mkoa huo ACP Germanus Mponguliana (0754-614141) mwenye fani ya muziki na kwa sasa wote wapo makao makuu ya Polisi Dar es Salaam, hawa walipokea taarifa kutoka kwa Rahim tarehe 12/11/2008 lakini waliharibu kesi hiyo baada ya kupokea rushwa kutoka kwa Aeshi. Aeshi alimtishia kifo Rahim kama angeendelea na mpango huo wa kumshtaki hali iliyomfanya akimbilie mjini Mbeya.

Wakati wa kura za maoni Dk. Chrisant Mzindakaya alikuwa anamuunga mkono Meja January Kisango wa Jimbo la Kwela aliyeangushwa na Ignas Malocha, na baada ya mtoto wake Violet naye kuangushwa na NEC kwenye ubunge Viti Maalumu alikasirika sana. Mzindakaya alimfuata Mbunge wa zamani wa Sumbawanga Mjini Paul Kimiti na kufanya mikakati ya kuasi CCM hasa baada ya kupitishwa kwa mgombea huyo mwenye kashfa nzito. Wakati wote huo hasira yao ikiwa ni juu ya Yussuf Makamba, Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Mzindakaya ndiye aliyemfuata Emmanuel Nkembo na akampa namba ya simu ya Rahim ambapo alikwenda moja kwa moja Mbeya na kukutana na Rahim eneo jirani na Mbeya Peak Hotel na kuhojiana naye mambo mengi na kupata ushahidi wa picha zake. Kwa sasa Emmanuel Nkembo anaelezwa kuwa hana uhusiano mzuri na Aeshi.

Baada ya kupata ushahidi huo, Mzindakaya aliwasilisha tuhuma zote hizo makao makuu ya CCM na Ofisi ya Rais na kupendekeza kwamba mgombea huyo hafai kuteuliwa, lakini vikao vyote vikapuuza na akapitishwa kama mteule.

Kitendo hiki kilimkasirisha sana Mzindakaya na wana CCM wengine, ambapo waliamua kwenda kumshawishi Mwalimu Norbert Yamsebo, kwamba pamoja na ukweli kuwa yeye ni CCM lakini wanamtaka akagombee ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Walimweleza wazi kwamba hata wao ni wanaCCM kama yeye, ila wanachotaka ni kuleta mabadiliko.

CHADEMA wakati huo alikuwa amejitokeza mgombea Veronica Mwasa, lakini wakamshawishi akalitoe jina lake na kumpisha Mzee Yamsebo, naye akakubali. Walimweleza Yamsebo kwamba asiwe na wasiwasi kuhusu mafuta wala fedha za kampeni, wanachotaka wao ni kuona yeye anagombea.

Mzindakaya ndiye meneja wa kampeni za CCM wa mikoa ya Rukwa na Mbeya, lakini ameamua kushawishi wazee wote CCM Sumbawanga Mjini na kuteua Kamati ya Kampeni ya kumnadi mgombea wa CHADEMA huku akipendekeza kauli mbiu kuwa ni ‘UCHAGUZI 2010 NI KUCHAGUA MTU NA SI CHAMA.'

Wazee hao wa CCM wamewashawishi wafanyabiashara wote, vijana, viongozi wa dini na kuwasambazia picha za ulawiti wa Aeshi, jambo ambalo limeleta chuki na kuwapandisha hasira dhidi ya mgombea huyo na wengine wanapanga kumlawiti mke wa Aeshi kama njia ya kulipa kisasi na wapo ambao wanapanga njama za kumuua Aeshi. Nilifanikiwa kuingia kwenye vikao kadhaa vya wazee wa CCM wanaoendesha kampeni za CHADEMA na hata kukutana na baadhi mmoja mmoja na kupata taarifa hizi nyeti hizi na sasa ninaziwakilisha ili serikali ichukue hatua haraka.

Ukweli ni kwamba kama Kikwete na CCM kwa ujumla wataendelea kumwacha Aeshi kuwa mgombea, wazee hao wana mpango wa kumwangusha vibaya katika mkoa huo, hivyo ni bora Aeshi akaondolewa ama kushauriwa kujitoa ili Kikwete apite, maana wazee hawa wanasema Kikwete na Makamba wamewaletea mgombea anayelawiti sawasawa na wao! Haya ni matusi ya moja kwa moja kwa Rais, na ili kuepukana na matusi ya aina hii ni vyema hatua za haraka zikachukuliwa katika suala hili.

Viongozi wa Makanisa ya KKKT, Katoliki, EAGT na wengine wamepata picha za uchafu huo na kusema kwamba hawapo tayari kuongozwa na Mbunge ambaye ni mlawiti mawazo ambayo yamepatikana kwa Waislamu pia. Baadhi ya makanisa ya Kiroho yameanza maombi ya kufunga ili Mungu awaepushe na dhambi ya Ulawiti ambayo ni chanzo cha Mungu kuchoma moto miji ya Sodoma na Gomola nyakati za Biblia. Baadhi ya wanawake wanaCCM waliokuwa wanamnadi Aeshi wamegoma baada ya kuziona picha hizo chafu.

NB: Aeshi wakati yuko katika safari zake za ‘kibiashara' nchini Zambia alianzisha uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Kitendo hicho kilishtukiwa na mume wa mwanamke huyo, ambaye aliandaa kikundi cha jamaa zake ambao walikwenda mjini Sumbawanga, wakamteka mke wa Aeshi, Bi Raya wakambaka na kumlawiti. Aeshi hakwenda kushtaki mahali popote kwa aibu.
 
MODS ipangeni hii thread vyema, inatia uvivu kusomeka japo inaonekana ni habari nzuri sana.
 
kwa nini hii habari mmeileta baada ya AESHI kumtuhumu MZNDAKAYA TU kwa nini sku zote mslete....uongo mtupu
Ninakuomba kama ni uongo utuambie ukweli unao ujua !!!
Na kama wewe ni muadilifu fuatilia namba za simu hizo utuambie ukweli hakuna kumuonea mhalifu haya.

Kama ni CCM wanatudhalilisha sana kiasi cha Walawiti kukaa Bungeni na kutuwakilisha haya ni matusi makubwa sana mbele ya Mungu!!!
Bunge lina wafiraji ndani na hakuna anayenusuru hilo na tunapata laana!!!
 
kwa nini hii habari mmeileta baada ya AESHI kumtuhumu MZNDAKAYA TU kwa nini sku zote mslete....uongo mtupu

Mkuu ni kweli MZINDAKAYA ni fisadi sana tu mkoani Rukwa lakini tuhuma dhidi ya Aeshi nyingi ni za kweli na dhahiri, hasa hiyo ya kumlawiti Mhindi, na kuna watu kibao tu Sumbawanga wanayo, binafsi nimeiona cd ya hilo tukio kwa mzee mmoja aliyekuwa mfanyakazi wa halmashauri ya mji pale sumbawanga na alikuwa anajihusisha na mambo ya haki za binaadamu. Kifupi Aeshi ni mchafu sana
 
Kashfa hizi ziliwakilishwa na wajumbe wa CCM Sumbuwanga !!!!!!!!!!

Kashfa zinazomkabili:
  1. Ukwepaji wa kodi
Aeshi ni mfanyabiashara anayemiliki kampuni kadhaa ikiwemo Northmead Tanzania Ltd, anadaiwa amekuwa kukwepa kulipa kodi ya mapato ambapo hadi kufikia Septemba 7, 2009 alikuwa anadaiwa kiasi shilingi 371,689,616 kama kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Nyaraka ambazo zinadaiwa kupatikana zinaelezwa kuwa ni:
  1. Tax Invoices za kati ya nambari 1 hadi 50 zilizoandikwa kati ya tarehe 04/09/2007 hadi 05/03/2008.
  2. Tax Invoices za kati ya nambari 0001 hadi 00050 ambazo ziliandikwa kati ya tarehe 26/03/2008 hadi 21/10/2008.
  3. Tax Invoices za kati ya nambari 0051 hadi 0100 ambazo ziliandikwa kati ya tarehe 26/03/2008 hadi 07/09/2009.
Matokeo ya uchunguzi wa nyaraka hizo uliofanywa na wananchi wazalendo yalionyesha kampuni hiyo ilitoa huduma yenye VAT ya thamani ifuatayo:
  1. Mwaka 2007 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 224,532,000
  2. Mwaka 2008 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 1,046,670,800
  3. Mwaka 2009 - kwa Mbeya Cement Company Ltd. Shs. 342,203,000
  4. Mwaka 2009 - kwa NFRA Rukwa (SGR) Shs. 245,042,278
JUMLA Shs. 1,858,448,078 20% VAT Shs. 371,689,616 NB: Kima cha VAT kilibadilika kutoka 20% kuwa 18% Julai 2008 lakini madai hayakuzingatia mabadiliko hayo. Inaelezwa kwamba, nyaraka (Returns) a VAT za kila mwezi hazina uwiano wowote na taarifa hiyo na malipo yaliyofanywa na kampuni hiyo, pia hakuna nyaraka zozote zinazoonyesha kama VAT ililipwa kutokana na huduma ya usafirishaji; hakuna nyaraka zinazoonyesha VAT iliyolipwa kutokana na mauzo ya sukari kutoka Zambia ambayo ni moja ya biashara kubwa snaa za kampuni hiyo ambayo inatuhumiwa pia kuingiza sukari hiyo kwa magendo. Taarifa zote hizo kwa nyakati tofauti zimewahi kuwasilishwa na wananchi wazalendo katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Ofisi ya Rais, Ofisi ya Waziri Mkuu, TRA Makao Makuu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, pamoja na CCM Mkoa lakini hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya Aeshi. Wazee wa CCM walioasi Chama wamesema hawana imani na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Mkoa kwa sababu wameshindwa kumchukulia hatua Aeshi pomoja na wao kutoa ushahidi mzito wa vielelezo. Wamebainisha kuwa Ofisa Usalama wa Mkoa, Morabu (0784-408838, 0756-804868) ambaye wamesema kwamba ameacha kazi yake na kujiingiza na biashara ambapo yeye, Aeshi na Meneja wa TRA Mkoa wa Rukwa Mkandara, wamekuwa kundi moja wakimshirikisha meneja wa Mbeya Cement. Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 67(2), Aeshi – pamoja na kuwa hajawahi kuhukumiwa – lakini amekuwa mkwepaji wa kodi na hivyo anakosa sifa za kuwania uongozi wa umma.
  1. Kumpa mimba mwanafunzi na kumkana
Kashfa nyingine inayomkabili mgombea huyo wa CCM ni kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari St. Mary’s mkoani Mbeya aitwaye Mary Joachim Louis (0764-501714) na kumtelekeza. Mary tayari ana mtoto wa kiume aliyepewa jina la Lenge Aeshi mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu aliyezaliwa katika Hospitali ya Kristo Mfalme mjini Sumbawanga Machi 7, 2009. Lenge ni jina la babu yake Mary aliyemzaa mama yake. Vyanzo vya habari vinasema, tangu alipompa ujauzito binti huyo na kumkana, amekuja kumkubali mtoto wake wakati amekwishatimiza mwaka mmoja, na hajawahi kutoa fedha yoyote ya matunzo kwa mtoto hata pale anapoambiwa kwamba anaumwa. Majirani wanasema yawezekana alimkubali baada ya kuona mtoto huyo amezaliwa akiwa anafanana naye kwa sura na rangi. Angekuwa na rangi ya Kibantu sidhani kama angeweza kumkubali. Binti huyo ambaye ameshindwa kuendelea na sekondari baada ya uongozi wa shule hiyo kukataa katakata maombi ya baba mzazi wa binti huyo kwamba aendelee na masomo baada ya kujifungua. Aeshi anadaiwa kutumia fedha kumlazimisha baba wa binti huyo asipeleke suala hilo kwenye vyombo vya sheria huku viongozi wa CCM wilayani Sumbawanga – Charles Victor Kambanga (0754-553130) na Enos Budodi (0757-885727), na Katibu wa CCM wa Mkoa Fraten Kiwango (0784-665926/0754-665926) wakitumika kwenda kumshawishi Mzee Joachim Louis (0784-666500/0755-666500) kutofungua kesi kwa maelezo kwamba kufanya hivyo kutaifanya CCM ipoteze jimbo hilo. Alhamisi tarehe 23/09/2010 majira ya asubuhi mkuu wa shule ya sekondari St. Mary’s aliyokuwa akisoma binti huyo Gervace Hussia (0755-910494) raia wa Kenya alimpigia simu baba mzazi wa binti huyo na kumhoji kuhusu hatua alizochukua baada ya bintiye kupata ujauzito. Mzee Louis alimweleza mkuu wa shule kwamba binti yake alipewa mimba na Aeshi ambaye hataki kuishi na bintiye, lakini alikuwa anahitaji bintiye arudi shule kuendelea na masomo, ombi ambalo mkuu wa shule alimshauri atafute shule nyingine ili kumwepusha bintiye na athari za kisaikolojia.

N
ilifanya mahojiano na Mzee Louis ambaye alisema kwamba kwa muda mrefu Aeshi hajaonyesha ushirikiano wowote katika suala la ujauzito wa bintiye na hata baada ya kujifungua kwani ni mtu aliyejaa kiburi, jeuri na mwenye majivuno. Anasema uongozi wa CCM umefuata mara kadhaa ofisini kwake na hata nyumbani kumsihi asimshtaki mteule huyo wa CCM kwa sababu kufanya hivyo ni kuwapa nguvu wapinzani washinde. “Sijui hata nifanyeje kwa sasa. Ndugu zangu wamekuwa wakiniuliza mara kwa mara ninachukua hatua gani, lakini sijaweza kujua nifanye nini. Walikuja nyumbani nikawaeleza kwamba mimi ninachotaka ni kuona binti yangu anaendelea na masomo, lakini mara tu walipoondoka nikasikia mitaani habari zimeenea kwamba eti amenipa shilingi milioni tano kuniziba mdomo na kwa hivyo wale wote waliokuwa wakipiga kelele kwamba atashtakiwa walie tu. Jamani, naapa kwa jina la Mungu kwamba sijapokea hata senti tano yake na sitaweza kupokea. Siwezi kuwa mtumwa wa huyu bwana hata siku moja. Ni vyema hata angejitokeza kumlea mwanawe huyu name niangalie mustakabali wa maisha ya binti yangu,” alisema kwa uchungu. Akaongeza: “Mwanangu hajapata kusoma hata shule za umma kuanzia alivyoanza shule ya awali mpaka sekondari. Mama yake alimwacha mdogo sana, nilikuwa nasafiri naye hata maporini kwenye shughuli zangu za ukandarasi, baadaye nikaamua kumpeleka shule ya bweni huko Arusha. Yote hii nilitaka kumwekea msingi mzuri wa maisha yake, lakini leo hii ndoto zote zimetoweka. Nikifikiria gharama nilizotumia na namna binti yangu alivyokatishwa safari yake naumia mno.”

N
ilifanya pia mahojiano na Bi. Mary, ambaye alikuwa na haya ya kueleza: “Nilizaliwa Mei 15, 1991 nikiwa mtoto wa sita. Ndugu zangu wengine ni Pendo, Peter, Lina, Neema, Godfrey (marehemu) na William ambaye anamaliza mwaka huu kidato cha nne katika shule ya sekondari St. Mary’s. Tulikuwa tunasoma wote kule.

“Nilianza kusoma shule ya awali ya Rukwa Nursery (sasa Rukwa High School) mwaka 1998, mwaka 1999 nikaanza Grade One Southern Highland Iringa ambako nilisoma hadi Grade Three. Mwaka 2002 baba akanitafutia shule huko Meru Peak International nilikosoma Grade Four hadi Five, kabla ya kuhamia Happy Skillful mwaka 2004. Mwaka 2006 nilijiunga na St. Mary’s Mbezi Sekondari Dar es Salaam, lakini mwaka 2007 nikahamia St. Mary’s Mbeya kabla ya kukutana na balaa hili, sijui kama ni la kujitakia ama la kushawishiwa.
“Baada ya mama kufariki, baba alikuwa na kawaida ya kunibeba kwenye gari na kusafiri naye site ama mitaani. Mara nyingi hata alipokutana na rafiki na jamaa zake mimi nilikuwa kwenye gari. Ni katika mizunguko hiyo ndipo nikakutana na Aeshi. Aliniona nikiwa na baba kwa sababu yeye na baba walikuwa wanafahamiana. Baba alikuwa anamuuzia magari. Mara ya kwanza alimuuzia gari aina ya Nissan Safari na mara ya pili pia. Nakumbuka wakati nikiwa Grade Six mwaka 2004 (alikuwa na miaka 13) baada ya kuwa amefanya biashara ya gari na baba Aeshi alikuja nyumbani na kujifanya alikuwa anafuata kadi ya gari. Ni hapo ndipo alipoanza kunitongoza. Nilimshangaa kwa sababu kwanza nilikuwa mdogo nisiyejua chochote kuhusu mapenzi, halafu nilimheshimu kama kaka. “Tangu wakati huo akaanza kunisumbua, nikienda mjini akiniona tu, ninaye, baba akisafiri anakuja nyumbani kujifanya anauliza hiki au kile. Akanirubuni na kuniahidi mambo mengi, huku akinipatia fedha na zawadi ndogo ndogo. Kwa ufupi sikuwa na shida ya fedha kwa sababu baba alinipatia mahitaji yote muhimu. Ahadi na ushawishi wake ndivyo vilivyonihadaa, ingawa niliendelea kuwa na msimamo kwamba mimi mdogo. Aliniahidi kwamba angenisubiri nimalize shule.

“Uhusiano huu ulishtukiwa na kaka yangu Godfrey, ambaye mara kadhaa alikuwa akinipiga na kunionya niachane na Aeshi, lakini sikumsikiliza. Hatimaye mwaka 2008, nakumbuka ilikuwa Aprili, wakati nilipofikia hatua ya kuvua nguo na kulala na Aeshi katika hoteli moja eneo la Kzwite, siikumbuki hata jina. Hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza. Mara ya pili ilikuwa mwezi Juni wakati nikiwa likizo pia. Nadhani safari hiyo ndipo nilipopata ujauzito.

“Nilirudi shule nikaendelea na masomo, lakini ukapita mwezi wa kwanza, wa pili, sikuona siku zangu. Niliporudi likizo mwezi Septemba nikamweleza kwa siri dada yangu Lina na kwa vile alikuwa anauelewa uhusiano wangu na Aeshi, akanishauri twende tukamweleze hali halisi ilivyo. Nilipomweleza tu akabadilika ghafla na kusema kwamba hahusiki. Kwanza Aeshi alikuwa amefikia uamuzi wa kuitoa mimba na akamuulizia daktari mmoja gharama akaambiwa ni shilingi laki mbili (200,000). Lakini akanipa 50,000 na kusema hana hela. Akaniambia: “Killing a baby is a sin. Fanya lolote urudi shule, ila mimi sihusiki na wala usinijue.” Tangu siku hiyo sikumuona tena wala kuwasiliana naye.


“Siku moja kabla hatujaondoka na mdogo wangu kurudi shule, mama (mke wa sasa wa baba yake) alinishtukia na ikanibidi tu nimweleze ukweli halisi, maana yeye ni zaidi ya rafiki. Baada ya kumweleza akamwomba baba waende dukani, ambapo huko akamweleza tatizo lililokuwa limenipata. Baba akasema hakuna jinsi nirudi tu shule na lolote litakalotokea itajulikana baadaye. Kwa kweli baba alikuwa amemchanganyikiwa. Baada ya hapo ndipo hata majirani na rafiki zangu walipoanza kunieleza uchafu mwingi aliokuwa akiufanya Aeshi, kwamba alikuwa na wasichana wengi wakiwemo wanafunzi, na mtindo wake ulikuwa ni kulala nao na kuwaacha, hakuwa na msichana mmoja tu. Kaka yangu akanikumbusha jinsi alivyokuwa akinionya lakini sikumsikia. Huko aliko naomba Mungu amrehemu na anisamehe kwa sababu ya upumbavu wangu.


“Bahati nzuri nilifanikiwa kumaliza mtihani wa mwisho na tukafunga shule. Mimba ilikuwa haionekani, vinginevyo ningeweza kufukuzwa shule. Niliporudi tayari mimba ilikuwa na zaidi ya miezi sita, hivyo wakati wenzangu wanarudi shule Januari 2009 mimi nikashindwa. Mungu akasaidia nikajifungua Machi 7, 2009. Aeshi hakuwahi kuja wala kuwa na mawasiliano na mimi, jambo huko mitaani nilikuwa nikimuona na yeye alikuwa ananiona. Amekuja kumkubali mtoto baada ya kutimiza mwaka mmoja mwaka huu 2010, lakini hata pale nilipojaribu kumweleza kwamba nahitaji fedha ya matumizi ya mtoto wakati anaumwa na baba yuko safari, alinijibu kwa kifupi tu “Sina hela, baba yako si ana hela!”

Nakumbuka siku moja wakati mtoto alipokuwa anaumwa, tulikuwa na dada yangu tunampeleka hospitali tukamkuta akiwa na jamaa zake njiani. Dada alimfuata baada ya kuitwa na kumweleza kwamba tulikuwa tunampeleka mtoto hospitali anaumwa na baba yuko safarini. Akaingiza mkono mfukoni na kutoa shilingi elfu kumi. Hiyo ndiyo pesa ninayoijua ya Aeshi.
“Najua watu wanataka Aeshi ashtakiwe, lakini najua atafungwa kwa sababu ya kosa hili. Lakini naogopa kwamba mwanangu atamkosa baba. Mwenyewe nataka kurudi shule, baba ananitafutia. Nikirudi shule sitafanya upuuzi kama huu,” anasema kwa uchungu na kukiri kwamba Aeshi ana kiburi na dharau.

I
navyoonekana, familia ya Aeshi Khalfan Hilaly imetandwa na tabia mbaya ya ubakaji wa wanafunzi, kwani wadogo zake wawili: Babu Eddy na Said Hilaly wote wana kesi mahakamani za kuwatorosha wanafunzi wa sekondari na Aeshi mwenyewe amekuwa akibariki vitendo hivyo kwa vile ni mshirika kiasi cha kutamba hata mbele ya wazazi wa mmojawapo wa binti hao kwamba wao wanajishughulisha na Malaya, kauli ambazo ni za dharau na matusi mazito kwa wazazi wa binti husika. Pia alifikia hatua ya kutamba kwamba, wakitaka waende polisi kuwashtaki hao wadogo zake, lakini yeye atakwenda mara moja kuwatoa, hata ikibidi atumie mamilioni ya fedha hajali, watatoka tu. Wazazi wa Aeshi nao wanaonekana kuwa na tabia chafu na kuwaunga mkono watoto wao kwa vitendo viovu wanavyovifanya, kwani waliwahi kuwatukana wazazi wa mmojawapo wa binti aliyetoroshwa na kijana wao na hata walipokwenda kwenye Serikali za Mitaa, baba mzazi wa Aeshi, Mzee Khalfan Hilaly Amour, alifikia hatua ya kumtukana mmoja wa wazazi hao kwamba ni Kafiri, ------, na Maskini ambaye hamwezi kwa lolote hata kwa uchawi.

-
Babu Eddy alimteka binti na kukamatwa, kesi ilipofika mahakamani yeye akatoroka na sasa anaishi Muscat, Oman, wakati ambapo Said yeye yupo mjini Sumbawanga na kesi bado inaendelea.

-
Said Hilaly ambaye ni mdogo wake Aeshi anayemfuata, alimtorosha binti aitwaye Sabina Gitson (17) anayesoma kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Chemchem, Sumbawanga mjini tarehe 12/02/2010 na kumpeleka Mbeya. Mjomba wa binti huyo aitwaye Ernest Simya (0754-229781) aliwasiliana na Aeshi na kumweleza suala hilo, lakini Aeshi alimtukana kwamba asimweleze habari za kipumbavu na kwamba wao (akina Aeshi wana-deal na malaya tu).

Yafuatayo ndiyo maelezo ya mjomba wa binti huyo kama alivyoyaandika mwenyewe kwangu:
“Mtoto wangu Sabina Gitson alitoroshwa tarehe 12.2 2010 saa kumi na mbili asubuhi akiwa na bibi yake nyumbani kwa kwetu mana alikua analala na bibi yake katika chumba kimoja bibi yake aligundua kama mjukuu wake hayupo majira ya saa mbili asubuhi na ndipo aliponijulisha kuwa mjukuu wake aliamka usiku na kuomba ufunguo wa mlango mkubwa wa uani kwa madai ya kutaka kwenda kufanya usafi bibi yake alimwambia kuwa bado ni usiku na hakumpa funguo badala yake zilisikika sauti za honi ya gari majira ya saa kumi na mbili kasoro na mtoto aliomba tena funguo na kudai kuwa anataka kuwahi kufanya usafi ili awahi shulen bibi yake alimruhusu na ndipo alipotoweka.

-
Mimi nilifika nyumbani kwa mama majira ya saa mbili kutokea nyumbani kwangu majengo na ndipo mama yangu aitwae Honorata Mpepo aliponambia kuwa mtoto hayupo nyumbani. Ukweli nilifika mbali kwani mtoto huyo ni yatima kwa maana mimi ni mjomba wake na mama yake mzazi Florida Kyambe alikwishafariki na baba yake Gitson anakaa na mke mwingine na mimi ndiyo nguzo kuu ya maisha yake binti huyu alizaliwa tarehe 12/12/1992, hivyo bado hajafikisha hata miaka 18! Mimi sikukata tamaa na nilimwomba Mungu anisaidie.
- Baada ya kwa muda wa siku mbili nipata tarifa toka Mbeya kupitia kwa kijana mmoja anaitwa Salumu ambaye ni fundi wa sofa na huwa nafanya naye kazi maana kwa upande mwingine mimi ni fundi wa sofa na huwa namwita kijana huyo toka Mbeya kuja kunisaidia kazi. Hivyo alikuwa anamjua vizuri binti yangu na alipomwona eneo la benki ya Mwanjelwa, akamwuliza kuwa anafanya nini na yuko na nani pale Mbeya na ndipo binti alimjibu kuwa yuko na SAIDI HILALY ambaye ni mdogo wake na AESHI HILALY. Kijana huyo baada ya kusikia hayo alinipigia simu na kunifahamisha kama mtoto yuko Mbeya na kuniuliza kama najua taarifa hiyo na kama nimemruhusu kuacha masomo na kumwacha aende Mbeya.
- Ukweli niliumia na ndipo niliona kuwa pia yeye ana uchungu na nilimwagiza asimwambie kama mimi najua kama yuko Mbeya nilimwomba aache kazi zote na amfatilie kwa ukalibu ili ajue wapi alipofikia na alipomfatilia aligundua kuwa alifikia Songwe katika gesti moja iitwayo Sakina Guest House na ukweli alikuwa na Said Hilaly kama aliyomwambia mwanzo nilimwomba aendelee kunisaidia kwa siku hiyo kijana hakuchoka aliweza kumbana binti na ukweli alipoona muda umepita na hakuna dalili za mimi kujua na aliamini kuwa kijana huyo hajanambia kitu alimweleza kila kitu na kijana alipo nieleza nilimrusu aondoke ila ajue kesho yake wapi atakutana nae. - Kesho yake binti yangu alimpigia simu Salumu na kumwomba kuwa SAIDI anaomba kuonana nae ili ampeleke sokoni mahali ambapo vitanda na magodoro yanapatikana kwa lengo la kumnunulia binti yangu na amtafutie chumba cha kupanga. Kijana alinieleza na nikamwambia afanye kama walivyomwagiza, alikutana nao na akawapeleka madukani lakini kinyume na magodoro na kitanda binti yangu alinunuliwa mawigi mawili na sketi moja na blausi moja na mhalifu huyo na kumwomba kijana Salumu abaki na binti kwani yeye anakwenda Sumbawanga kupeleka mzigo akirudi ndipo atatafuta chumba. Salumu aliniandikia sms na mimi nilimwambia kuwa asikubali na aondoke.
- Aliondoka kwa kuaga kuwa anamwona mtu ndani ya soko na anarudi mimi alinambia kuwa amekwisha toka maeneo yale, nilimwomba atoe tarifa kituo chochote cha polisi kilichoko karibu lakini alipojaribu kufanya hivyo tayari walikuwa wamekwisha ondoka na kumwacha binti yangu katika mazingira mabaya, yaani walimtelekeza. Niliposikia hivyo nilimpigia AESHI Hilaly simu na kumwomba amweleze ndugu yake kuwa asimwache binti yule kwani kila kitu kinajulikana na ndipo AESHI aliponijibu kuwa hana mpango na yuko bize na mambo yake, nikitaka nimpeleke polisi ndugu yake na yeye atakuja kumtoa hata kama watataka milioni tano.
- Sikuishia hapo, nilimpigia tena na kumwambia kuwa naomba unisaidie kwa kuwa wewe ni kiungo kikubwa katika familia na ndipo aliponambia kuwa yeye hajali Malaya na kazi yake ni kudili na Malaya kama mtoto wangu. Ukweli mimi nilisikia uchungu na kwa kuwa nilikuwa na baba mzazi wa mtoto tulijadiliana twende kwa wazazi wao. Tulikwenda mpaka kwao tukawakuta wazazi wao wote wawili, yaani baba yake na mama yake walitulipokea na tukawaeleza yote lakini tuliyoyatarajia ilikuwa kinyume sana kwani tulitukanwa pia na kufukuzwa.
- Baada ya hapo mimi niliona hakuna jinsi na niliamua kumpigia simu SAID mwenyewe na kumwagiza aniletee binti yangu kama alivyomchukua. Yeye alisema kuwa hataweza kumleta maana gari yake imeharibika ila atakuja na utingo wake kwa basi. Mimi nilimweleza kuwa nataka wewe ndio umlete na si mwingine, akanambia kuwa atanitarifu baadae ningoje afikirie.
- Nilimtafuta kijana wangu Salumu kwa ajili ya kumtahadhalisha kuwa asiende tena katika maeneo ya Songwe lakini sikumpata kumbe alikuwa amekwenda kuona kama mtoto yuko salama na ndipo SAID na wasaidizi wake wa gari walimshika Salum na kumwambia kuwa ametoa tarifa kwangu, sasa adhabu yake ni kifo tu. Kijana alijitahidi na aliwashinda nguvu na kukimbia. Alitoa taarifa kwetu mimi na baba mzazi wa binti na ndipo mimi niliamua kumfuata tena ndugu AESH kumweleza ila alinijibu kuwa atafuatilia kesho yake.
- Kinyume na kufuatilia kesho yake jioni majira ya saa kumi na moja jioni nilimwona binti yangu akiwa nyuma ya nyumba yetu. Nilimwita na nilipomwuliza alikuwa wapi alikiri kuwa alikuwa na SAID Mbeya na ameambiwa arudi nyumbani na Said. Nilimwambia kuwa nilisema yeye ndio akulete inakuwaje umekuja peke yako? Akasema kuwa MAMA YAKE NA SAID NDIO ALINAMBIA NIRUDI KUWA NITAKAA KWAO.
- Niliposikia hayo nilimwambia abebe mzigo na nilimpeleka mpaka kwa wazazi wa Saidi na kumwacha. Alikaa siku mbili, wakampeleka kwa mwenyekiti kwa lengo la mimi niitwe ili tuyaongee na kuyamaliza. Niliitika wito wa mwenyekiti ila tulipoanza kuongea BABA yao aliinuka na kuniita mimi (KAFIRI, ------, MASKINI) na simwezi kwa lolote hata kama pesa au UCHAWI maana mimi ni mtoto sana kwao na sijui nafanya nini na ndipo kikao kiliisha na mimi na baba mzazi wa mtoto tukaenda polisi na kufungua kesi.
- Kesi iliendeshwa chini ya upelelezi wa askari anayeitwa Egidius (CID) ambaye baadaye tuligundua kuwa yuko jirani na familia ya ndugu AESHI baada ya kumrubuni binti kuandika barua ya kufuta kesi mahakamani kwani yeye ndiye shahidi wa mwisho. Tuligundua hayo kupitia kwa askari wengine waaminifu na wanaochukia vitendo hivyo na wakatushauri kuomba kubadilishiwa CID wa kesi kwa sababu mwenzao si mwaminifu. Tulikubali ushauri wao na kweli tulibadilishiwa askari aitwae Innocent ambaye ukweli anatupa ushirikiano mzuri chini pia ya mahakimu mahiri na wapenda haki wa mahakama ya wilaya wa Sumbawanga Ndugu Matembere na wandesha mashtaka mahiri wasiopenda rushwa Ndugu Makene na Magai.
- Ilipofika tarehe 16.4.2010 nilimtuma tena binti yangu TANESCO kwenda kulipia bili ya umeme na aliporudi alionekana akiwa na vijana wawili wa Kiarabu wakiwa naye na walimwamuru aingie ndani na kutoka, kama sivyo maisha yake yatakuwa mikononi mwao. Mimi na bibi yake tulikuwa mbele ya nyumba ambako ndiko nafanyia shughuli zangu za sofa. Kwa bahati kulikuwa na watoto wadogo walioshuhudia yote yaliyokuwa yakitendeka kwa uani alikokuwa dada yao, walikimbia kuja kutoa taarifa lakini nilipofika nilikuta mwanangu keshaondoshwa pale uani. Nilijitahidi kumtafuta huku na huku bila mafanikio na nilirudi tena polisi na kufungua kesi nyingine.
- Ilipofika tarehe 25.8.2010 nilifanikiwa kumkamata binti yangu akiwa katika nyumba ya mama mmoja mganga wa kienyeji na mume wake ni fundi ujenzi alifahamika kwa jina la ADAMU MASOUD na nilimkamata na kumpeleka katika kituo cha polisi na tulimkamata mwanaume aliyekuwa amemhifadhi binti yangu. Tulipomhoji alikiri kuwa binti yangu alipelekwa kwake na MHESHIMIWA AESHI KWA MADAI KUWA MDOGO WAKE YUKO BIZE NA KAMPENI HIVYO WAMFICHE NA ATAMHUDUMIA YEYE. Lakini tulipofika mahakamani kijana huyo alikataa maelezo yake na picha iliyotokea ni kuwa na wimbi kubwa la makada wa Chama cha Mapinduzi Bwana Msimbazi na Enos Budodi (0757-885727), waliojitahidi kumdhamini bila mafanikio. Alirudishwa mahabusu mpaka alipokuja kudhaminiwa tarehe nyingine ya kesi ambapo pia kulikuwa na wimbi kubwa la makada hao.
- Namaliza kwa kusema kuwa kesi ya mwanzo inayo mhusu SAIDI HILALY itatajwa tena tarehe 23.10.2010 na kesi inayomhusu ndugu ADAMU MASOUD itatajwa tena 25.10.2010 zote binti anatakiwa kutoa ushaidi wake naomba ushirikiano wako pale ambapo hutanielewa. - NB: Mtoto wangu anasoma kidato cha tatu katika shule ya sekondari Chemchem lakini kwa mwaka huu hakuweza kusoma kutokana na matatizo hayo mpaka hapo mwakani atakaporudia tena kidato cha tatu, hivi sasa anaendelea na kozi ndogo ya kopyuta.” NB: Ikiwa katika kipindi hiki tu hajawa ‘mtu yeyote’ ana dharau namna hiyo na hataki kuonyesha ushirikiano, watu wanauliza, je, atakapopata huo ubunge anaouwania na kuwa ‘mheshimiwa’ si ndiyo atafunga na vioo kabisa na kutojishughulisha na lolote kuhusu binti na mwanawe? Kama katika kipindi hiki tu anafanya mambo ya ajabu na kutumia ubabe katika jamii, akishapata kinga ya Bunge, si atafanya maovu mengi?
  1. Kumteka na kumlawiti Mhindi

UNDANI WA KASHFA YA ULAWITI
Lakini kashfa kubwa zaidi ni ile ya kumteka, kumtishia kwa bastola na kumlawiti mfanyabiashara Mhindi Rahim (0784-644303) Novemba 12, 2008 kwa maelezo kwamba alikuwa anamshukia kuwa na uhisiano wa kimapenzi na mkewe aitwaye Raya Humud Salehe. Habari za uchunguzi kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mkoani hapa zinaeleza kuwa 12/11/2008 Aeshi alimtuma Emmanuel Nkembo (0752 005040) – fundi pikipiki Opposite Jengo la Benki ya NBC – kwenda kumlubuni Rahim na kumpeleka nyumbani kwa Aeshi kwenye nyumba Block N eneo la Jangwani. Emmanuel Nkembo alikuwa rafiki wa Rahim kwa muda mrefu. Nkembo alifanikisha mpango huo na kumpeleka Rahim nyumbani kwa Aeshi na walipofika walikuta watu zaidi ya sita Waswahili na wengine wenye asili ya Kiasia ambao inadaiwa walikodiwa na Aeshi kutoka Mbeya maalum kwa ajili ya kazi hiyo. Pia alikuwepo kijana wa Kiarabu, Issa Salehe, anayedaiwa kuwa shemeji wa Aeshi. Aeshi alichomoa bastola yake na kumweka Rahim chini ya ulinzi na kumlazimizimisha avue nguo na amgeuzie ------ tayari kwa kulawitiwa. Rahim alileta mgomo, lakini Aeshi alifyatua risasi moja chini ya ardhi kumtishia na kumnyang’anya Rahim bastola aliyokuwa nayo huku watu wengine wakimpiga na kitu kilichomjeruhi na kumfanya avuje damu nyingi. Aeshi ndiye anayedaiwa kuanza kumlawiti Rahim huku wengine wakisubiri kwa zamu na wakati wote picha zinachukuliwa kwa kutumia simu ya mkononi. Rahim alizidiwa na kutaka kuleta matata lakini Aeshi alimpiga kibao na damu ikaanza kumwagika.

Baada ya kumaliza kumlawiti kwa zamu, walimwachia na kumtishia kuwa hata akienda kituo cha polisi hatafanikiwa!
Aeshi na wenzake walikwenda kusherehekea ‘ushindi wa tukio hilo’ kwenye ukumbi wa Ufipa Lodged ambapo alianza kuwatumia picha hizo jamaa zake huku akijivuna kwamba amemkomesha. Nakala za picha hizo zilitumwa pia kwa mkewe Rahim. Rahim alipata fedheha kubwa na kwenda kufungua kesi polisi na kupewa Jalada la upelelezi lakini Aeshi aliposikia alikwenda kuhonga vyombo vya usalama na kuhujumu upelezi wa kesi. Mpaka sasa jalada la kesi hiyo halionekani ingawa taarifa zinasema kesi hiyo ilikuwa katika hatua ya upelelezi. Masheikh na Waislamu wa Sumbawanga wanasema kwamba, taarifa hizi walizipata mapema na kulaani kitendo hicho. Wazee wa Kiislamu walitumwa kwa Aeshi (ambaye inadaiwa hana kawaida ya kuswali) na kwenda kumshauri kwamba anatakiwa akatubu msikitini kwa kufanya dhambi kubwa kama hiyo, lakini mpaka siku ya leo hajaenda kutubu, hali ambayo imewafanya Waislamu waendelee kumchukia kwa kuitia doa dini yao. Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa (RCO) wa zamani SSP E. Bukombe (0784-458937), na Kamanda wa zamani wa Polisi wa Mkoa huo ACP Germanus Mponguliana (0754-614141) mwenye fani ya muziki na kwa sasa wote wapo makao makuu ya Polisi Dar es Salaam, hawa walipokea taarifa kutoka kwa Rahim tarehe 12/11/2008 lakini waliharibu kesi hiyo baada ya kupokea rushwa kutoka kwa Aeshi. Aeshi alimtishia kifo Rahim kama angeendelea na mpango huo wa kumshtaki hali iliyomfanya akimbilie mjini Mbeya.

Wakati wa kura za maoni Dk. Chrisant Mzindakaya alikuwa anamuunga mkono Meja January Kisango wa Jimbo la Kwela aliyeangushwa na Ignas Malocha, na baada ya mtoto wake Violet naye kuangushwa na NEC kwenye ubunge Viti Maalumu alikasirika sana. Mzindakaya alimfuata Mbunge wa zamani wa Sumbawanga Mjini Paul Kimiti na kufanya mikakati ya kuasi CCM hasa baada ya kupitishwa kwa mgombea huyo mwenye kashfa nzito. Wakati wote huo hasira yao ikiwa ni juu ya Yussuf Makamba, Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Mzindakaya ndiye aliyemfuata Emmanuel Nkembo na akampa namba ya simu ya Rahim ambapo alikwenda moja kwa moja Mbeya na kukutana na Rahim eneo jirani na Mbeya Peak Hotel na kuhojiana naye mambo mengi na kupata ushahidi wa picha zake. Kwa sasa Emmanuel Nkembo anaelezwa kuwa hana uhusiano mzuri na Aeshi.

Baada ya kupata ushahidi huo, Mzindakaya aliwasilisha tuhuma zote hizo makao makuu ya CCM na Ofisi ya Rais na kupendekeza kwamba mgombea huyo hafai kuteuliwa, lakini vikao vyote vikapuuza na akapitishwa kama mteule.

Kitendo hiki kilimkasirisha sana Mzindakaya na wana CCM wengine, ambapo waliamua kwenda kumshawishi Mwalimu Norbert Yamsebo, kwamba pamoja na ukweli kuwa yeye ni CCM lakini wanamtaka akagombee ubunge kwa tiketi ya CHADEMA. Walimweleza wazi kwamba hata wao ni wanaCCM kama yeye, ila wanachotaka ni kuleta mabadiliko.

CHADEMA wakati huo alikuwa amejitokeza mgombea Veronica Mwasa, lakini wakamshawishi akalitoe jina lake na kumpisha Mzee Yamsebo, naye akakubali. Walimweleza Yamsebo kwamba asiwe na wasiwasi kuhusu mafuta wala fedha za kampeni, wanachotaka wao ni kuona yeye anagombea.

Mzindakaya ndiye meneja wa kampeni za CCM wa mikoa ya Rukwa na Mbeya, lakini ameamua kushawishi wazee wote CCM Sumbawanga Mjini na kuteua Kamati ya Kampeni ya kumnadi mgombea wa CHADEMA huku akipendekeza kauli mbiu kuwa ni ‘UCHAGUZI 2010 NI KUCHAGUA MTU NA SI CHAMA.’

Wazee hao wa CCM wamewashawishi wafanyabiashara wote, vijana, viongozi wa dini na kuwasambazia picha za ulawiti wa Aeshi, jambo ambalo limeleta chuki na kuwapandisha hasira dhidi ya mgombea huyo na wengine wanapanga kumlawiti mke wa Aeshi kama njia ya kulipa kisasi na wapo ambao wanapanga njama za kumuua Aeshi. Nilifanikiwa kuingia kwenye vikao kadhaa vya wazee wa CCM wanaoendesha kampeni za CHADEMA na hata kukutana na baadhi mmoja mmoja na kupata taarifa hizi nyeti hizi na sasa ninaziwakilisha ili serikali ichukue hatua haraka. Ukweli ni kwamba kama Kikwete na CCM kwa ujumla wataendelea kumwacha Aeshi kuwa mgombea, wazee hao wana mpango wa kumwangusha vibaya katika mkoa huo, hivyo ni bora Aeshi akaondolewa ama kushauriwa kujitoa ili Kikwete apite, maana wazee hawa wanasema Kikwete na Makamba wamewaletea mgombea anayelawiti sawasawa na wao! Haya ni matusi ya moja kwa moja kwa Rais, na ili kuepukana na matusi ya aina hii ni vyema hatua za haraka zikachukuliwa katika suala hili.
Viongozi wa Makanisa ya KKKT, Katoliki, EAGT na wengine wamepata picha za uchafu huo na kusema kwamba hawapo tayari kuongozwa na Mbunge ambaye ni mlawiti mawazo ambayo yamepatikana kwa Waislamu pia. Baadhi ya makanisa ya Kiroho yameanza maombi ya kufunga ili Mungu awaepushe na dhambi ya Ulawiti ambayo ni chanzo cha Mungu kuchoma moto miji ya Sodoma na Gomola nyakati za Biblia. Baadhi ya wanawake wanaCCM waliokuwa wanamnadi Aeshi wamegoma baada ya kuziona picha hizo chafu.

NB: Aeshi wakati yuko katika safari zake za ‘kibiashara’ nchini Zambia alianzisha uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Kitendo hicho kilishtukiwa na mume wa mwanamke huyo, ambaye aliandaa kikundi cha jamaa zake ambao walikwenda mjini Sumbawanga, wakamteka mke wa Aeshi, Bi Raya wakambaka na kumlawiti. Aeshi hakwenda kushtaki mahali popote kwa aibu.
Duh, huyu jamaa bado yuko mtaani, ala, au ndo bado mnamwita mheshimiwa mtu mchafu/mhafidhina namna hii? kweli Tanzania ni balaa ya tupu ni bora kuishi ukimbizini kama mkimbizi kuliko kubaki kuongozwa na genge la wahuni kama huyo Aeshi.
 
hizo picha video za uchafu wa Aeshi ziwekwe hapa Jf baba V, maana Jf ni zaidi ya yote. Weka baba weka baba ama vipi nipm unitumie.
 
Hii ni vita ya wataalamu wenyewe kwa wenyewe.Huyu jamaa alimlipua Mzee Mzindakaya, sasa naona Mzee anajibu mapigo. Chezea mitandao weyeee....
 
Kamwe ujinge wako na utumwa wa akili huwezi jiondoa yote no chuki zako na upumbafu wa chuki zako

Kamwe swax haijapata mbunge kma huyu
Wafipa wanadesturi za kyto saidiana sasa jamaa abaqasaidua kidogo fitina tele huu uzi ni wa kanifiki

Mpds pndoa ujinga huu
 
Sasa ni kifanyike ili huyu Aeshi awajibishwe? Nilidhani kuwa lile dawati.la aina Helen Kijo Bisimba lingeweza kuwasaidia lakini habari ya leo kutoka ChTenTV imenifanya nisiwaamini tena hata kidogo. Ni kuhusu yule kijana aliyetobolewa macho na polisi kilichotengenezwa na Mimi na Tanzania.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom